If kenya will force you to start testing your truck drivers isn't that a good thing?Nakupa wiki 1 tu, utashangaa utaratibu ni dereva asubmit vyeti vyenye vipimo negative na si kupimwa hapo.
U got no guts kutukazia kiasi hicho, wewe mwenyewe unajua.
Na mdudu je tuwapekeee?
Haitakuwa lengo lao, lengo lilikuwa wawapime wenyewe.If kenya will force you to start testing your truck drivers isn't that a good thing?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ule mpaka wa Tunduma umeshafunguliwa?Zambia walijaribu kutikisa kiberiti kikawalipukia
Wamefungua mpaka haraka bila masharti, kunyans should take homework
We don't need your food stop over hyping yourself.. It's best practice everywhere in the world when you close the border you allow cargo traffic. The aim of kenya closing the border is not to stop trade but to stop mass traffic of people since it's near impossible to test everyone coming. With truck drivers that's a little number you can be able to test them even tracing them is easier. Even the somali border we allow cargo vehicles there's nothing special with Tanzania.
Mbna wengi wenu ni mihemko tu na ujinga? Ni asilimia ngapi ya chakula cha Tanzania kinatumika kenya? Tuletee takwimu.
Haha as always kutoa statistics kutoka kwa makalio yako, uliletewa hapa official figures ukaoneshwa for example from a consumption of more than 360000t Tanzania ilichangia only 10000t mwaka jana sasa hio 40% iko wapi? Ukitaka watu wawe wanakuchukulia serious jifunze kuwa unaprove statements zako otherwise unaonekana umejaza ujinga na utotoKitunguu?, hivi ibazungumza kitu gani?. Wakenya wanategemea mchele toka Tanzania by 80%, Legumes 52%, Maize 40%, Onion 90%, Fruits 70%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha ujinga weweUnajua gharama za kugeuza hayo malori hapo mpaka wa Kenya ukauze mzigo Burundi au Congo .. the same kwa malori yaliyo mpaka wa Malawi na Zambia ... Ubaya sisi watanzania vichwa maji .. Sasa kichaa Kama wewe hujawahi kulima hata mchicha utajuaje haya Mambo yanavyoenda mbwa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulitaka serikali ifanye nini?Ndugu yangu, mi nikiwasikiliza hawa viumbe napata hasira. Yani Mh. Na praise team hawaambiliki. Kama waziri anatamka asilimia 9% (aprox 4,500,000) ya watanzania wana kisukari na Corona imeonekana kuua zaidi ya robo ya hili kundi je tupo tayari kuzika zaidi ya watu milioni moja?!
Wanachofanya nikutuchezea physiological game, wamekazana "kila mmoja achukue tahadhari" ili mambo yakiharibika watu wajilaumu wenyewe wasilaumu serekali. Wakati huko kuchukua tahadhari ni impossible bila serekali kuingilia kati. Mfano nimeenda hotelini kula, naletewa msosi naanza kula, anakuja mteja mwingine anakaa upande wa pili tunatizimana, chances za kuambukizana zipo juu sana. Ni jukumu la serekali kuhakikisha biashara zote zinafata muongozo wa social distancing, huwezi ukamuachia mfanyi biashara ajisimamie. Hali hii ipo kwenye baa, usafiri wa umma n.k
Nasikitika sana!!
Pumbavu hilo achana nalohukumuoma baba yako mjinga ila watanzania wengine.hiyo inabaki kuwa katika mtizamo,kama baadhi tunavyokuona ndezi hapa,na hasara uloyomsababishia baba yako na taifa kwa ujumla.
umeambiwa malori ya bidhaa yapite,wewe umekurupukia bidhaa zimezuiwa,bidhaa gani sasa zimezuiwa??
Nani Analia?, zaidi ya hao ombaomba hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayetaka kuja Kenya, nchi ambayo wakati wowote unaweza kuuliwa, usalama hakuna, hakuna Chakula, hakuna MAJI, hakuna ajira, nani aje Kenya?. Wakenya ndio mnajazana Tanzania.
Panguza machozi jomba, you have cried since yesterday. Are you one of the drivers that were turned back at Namanga border?haitakuwa lengo lao,lengo lilikuwa wawapime wenyewe.
Hivi wewe unajua kinachoendelea dunia hii?, 70% ya pamba inayotumika katika viwanda vya nguo Kenya inatoka Tanzania, watapata wapi Pamba?Kenya watanunua pengine
Another market tunapoteza
Aisee viongozi hawa wa CCM wathink kwa kutumia kichwa na sio matako
Leo umekubali kuwa huwa mnaexport omba omba to Kenya? In fact that's your largest export to Kenya.πππNani Analia?, zaidi ya hao ombaomba hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayetaka kuja Kenya, nchi ambayo wakati wowote unaweza kuuliwa, usalama hakuna, hakuna Chakula, hakuna MAJI, hakuna ajira, nani aje Kenya?. Wakenya ndio mnajazana Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu analaumu kuzuia watu, tunachosema ni kwamba Kenya haina uwezo wa kuishi bila kuruhusu Chakula na bidhaa zingine toka Tanzania. Kwa sababu inaonekana kwamba madereva wa malori ndio wanaoeneza zaidi Corona, tulitegemea Kenya kuzuia "Cargo vehicles" kuingia Kenya, lakini kwasababu Kenya haiwezi kusurvive bila chakula na bidhaa muhimu toka Tanzania, ndio sababu imeruhusu "Cargo vehicles" ziendelee.We don't need your food stop over hyping yourself.. It's best practice everywhere in the world when you close the border you allow cargo traffic. The aim of kenya closing the border is not to stop trade but to stop mass traffic of people since it's near impossible to test everyone coming. With truck drivers that's a little number you can be able to test them even tracing them is easier.. Even the somali border we allow cargo vehicles there's nothing special with Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Watanzania tuache roho mbaya, tuache ukaidi, tushirikiane na wenzetu kukabiliana na virusi vya korona.
nani analia sasa kati yetu na nyinyi[emoji1][emoji1]Panguza machozi jomba, you have cried since yesterday. Are you one of the drivers that were turned back at Namanga border?