Cry baby. Kenya has shown Magufuli middle finger.Hata border ya Uganda pia hakuna movements ya passengers vehicles, ni " Cargo vehicles " pekee ndio zinapita.
Kitu kimoja lazima ukubali, kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila "Cargo" from Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo border tutafungua tukijiskia. After those 30 days we can decide to extend the closure.Only nonessential goods, Kenya doesn't have any essential goods for Tanzanian economy.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]una maimuvu makali sana.sisi ndio wa kuongea ukanda huu,hakuna kima yeyote.Cry baby. Kenya has shown Magufuli middle finger.
since then haina madhara yoyote mnaweza ongeza hata miezi 6.maana hakuna atakayewauliza hata baada ya tamko la jana.Hiyo border tutafungua tukijiskia. After those 30 days we can decide to extend the closure.
Una evidence ama ni porojo tu?Mwaka Jana Tanzania haikuuza mahindi mengi Kenya kwasababu ilipeleka kusini mwa Afrika kutokana na kimbunga kilichozikumba nchi za Msumbiji, Malawi, na Zimbabwe, ndio sababu hata "Balance of trade" ilionyesha Kenya imeuza zaidi kwa Tanzania, lakini kwa wastani Tanzania inauza 40% ya mahitaji ya Kenya ya mahindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia chapo ni chakula cha anasa Kenya ,MTU akinunua chapo anapita mitaa yote watu mademu wa slum wamuone ni the big boss
Juu mlizuia tulikosa mahindi??Mwaka juzi au mwaka jana hawa wakenya walikataa kununua mahindi yetu, wakaanza kununua ya zambia, then eti wayapitishe kwenye barabara za Tanzania to Kenye!! Mzee baba akapiga pini Magari yote ya Kenya hakuna kupita Tanzania!!! Mbona waliomba pooo!!!
ni swala la muda wataomba pooo soon, hawana ujanja
Si eti tumenyamaza, if you argue with a fool chances of becoming a fool is high. Think before you leap. It work both ways, bila biashara mimi ntakosa bidha wewe utakosa hela thats it. Khabari ya kufunga mipanga hiyo is beyond our control kiufupi ni siasa. Na kuhusu masoko mimi binafsi niko mombasa na nimeshuhudia vyakula vya kutoka Ethiopia na Sudan vikiingia sokoni incase Tanzania kuna shida.Unaona wakenya mwenyewe wamenyamaza kimya hata like hawa thubutu kutoa kwa wajinga kama wewe maana wanajua moto wa tz kufunga mpaka na kuzuia chakula Kenya lazima jubilii ipigwe chini.
Send by APOLO 1
ur idiot... Usiongee kitu usichokijua AnkoKenya's demand for fish is higher than all East African countries combined. That's why we even import some from China. What can you say about Sugar you are importing from Uganda?
joto la jiwe,
Kenya watanunua pengine
Another market tunapoteza
Aisee viongozi hawa wa CCM wathink kwa kutumia kichwa
Hahahaha, Ethiopia na Sudana zinazalisha chakula cha ziada kuweza kulisha Kenya?, wacha kujidhalilisha. Leo hii Kenya inalishwa na Ethiopia kweli?, hii ni aibu kubwa sana kwa Kenya.Si eti tumenyamaza, if you argue with a fool chances of becoming a fool is high. Think before you leap. It work both ways, bila biashara mimi ntakosa bidha wewe utakosa hela thats it. Khabari ya kufunga mipanga hiyo is beyond our control kiufupi ni siasa. Na kuhusu masoko mimi binafsi niko mombasa na nimeshuhudia vyakula vya kutoka Ethiopia na Sudan vikiingia sokoni incase Tanzania kuna shida.
Get prepared for countrywide famine.Hiyo border tutafungua tukijiskia. After those 30 days we can decide to extend the closure.
π π π Naongeza msistizo never argue with a fool, mpakani wakulima wapo wanaoweza leta bidhaa zao sokoni.si lazima nchi nzima ilime ndio watuuzie,think π€Hahahaha, Ethiopia na Sudana zinazalisha chakula cha ziada kuweza kulisha Kenya?, wacha kujidhalilisha. Leo hii Kenya inalishwa na Ethiopia kweli?, hii ni aibu kubwa sana kwa Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
And you export to us, Corruption, thieves, majambazi and jobless youthsLeo umekubali kuwa huwa mnaexport omba omba to Kenya? In fact that's your largest export to Kenya.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ajaribu Mara ngapi??? Au mshasahau[emoji23][emoji23][emoji23]Mnaezafungua hiyo border kama mnajiamini. Mnaishi kwa kupiga tu kelele lakini action ni zero. Hata Magufuli mwenyewe anajua kuwa haezijaribu Kenya.
Point of correction bruh, in African countries famine is not caused by shortage of supplies but inasababishwa na siasa mbaya, ufisadi na utumiaji mbaya wa mamlaka. Kama tunavyoona sahizi Uhuru na Magufuli wanapo ongea maneno yao hawafkiri watu wamapato ya chini na athari zake.
Tulia basi,Unaakili kama njegere hujui Tanzania tunafaidika na kuuza chakula nje ya nchi mfano kenya. Nani kakwambia Kenya hawazalishi chakula Kwa akili yako fupi unafikiri Tanzania ndio nchi inayoongoza Kwa kuzalisha chakula Dunia.
Kenya wanazalisha chakula kingi kutupia Sisi sema wao wanaexport baadhi ya vyakula kwenda nchi za nje .Tukilipoteza soko la kenya ni ngumu kulirudisha kwasababu nchi giant za kuzalisha chakula kama za ulaya, Asia na American watachukua Hilo gap. Kwa hapo endapo mpaka ukafungwa wakuumia zaidi ni Mtanzania kuliko mkenya
Sent using Jamii Forums mobile app