Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Anadhani Tz inategemea kilimanjaro, chuga na tanga, hajui hiyo kanda ya kaskazini inajilisha na ndio inauzia kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mmeshapewa masharti sasa uamuzi uko kwenu kusuka ama kunyoa! Na sisi watz hatubembelezi
Wakulima wenu wanatafuta pesa au sifa? Hivi unadhani wanabiashara wa Kenya wanashurutishwa na mtu yeyote yule kwamba wanunue bidhaa kutoka Tz? Mkivuruga biashara wakati wao ndio wana hela watatafuta option nyingine, hii itageuka kuwa fursa nzuri sana kwa wakulima wa Kenya na Uganda.
 
haya mambo yanahitaji utulivu sana.vinginevyo huwezi kuyaelewa mkuu.hongera kwa kutafakari.

haingii akilini mkenya,mzambia,mnyarwanda,mganda-wote wanatangaza madereva kadhaa wa corona kutokea huku!!!,kwamba tunawahujumu ama vip!!!
Lakini takwimu za Namanga zimesimamia kucha kuliko borders zote.

Ngoja tuone.
 
Sadc?? Tuwe serious kidogo kabla ya kuwatia umaskini wakulima
Hujui lolote kuhusu biashara kati ya Tanzania na SADC. Kelele za wakenya ndio zinakufanya ufikirie Kenya kwamba ni nchi muhimu katika biashara na Tanzania sio?. Pale border Tunduma, kwa siku moja Bakhresa anapitisha zaidi ya malori kati ya 100 -150 yanayopeleka bidhaa zake Zambia na DRC, Malawi na Zambia products zilizojaa Supermarkets ni Azam tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, Kenya mnakuja kwa njaa zenu, sisi soko letu la vyakula ni WFP na nchi za SADC, Kenya hatuwahitaji mnakuja wenyewe kubembekeza tuwauzie chakula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wakulima mnaowaona wanakuja huko, ni chini ya 5% ya wakulima wa Tanzania, wengi wao hutokea mikoa Jirani na Kenya, hawapendi kusafirisha bidhaa zao kwenda kusini mwa Africa kutokana na umbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!!km unavyojidanganya kenya sokoni huaga malori ya vyakula ni ya tanzania pekee..
Naona mumekaririshwa mpka mkafundika walai..

Bidhaa zote zinazokuja utakuta kuna malori ya kenya na tanzania..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wakulima waTz watatafuta option nyingine vilevile.
 
Wewe ama ni mtoto au ni mpumbavu. Baada ya EAC ya mwanzo kuvunjika mpaka wa Kenya na Tanzania ulifungwa kwa zaidi ya miaka mitatu, Wakenya waliishije?
Maisha yamebadilika,nani alijua kama Nairobi itakuja kukosa maji kwa mwezi mzima?
 
Wacha uongo, 75% ya mahindi na 52% ya legumes, 89% ya mchele vinatoka Tanzania. Kenya na Uganda lazima Volume of trade kati yenu iwe kubwa kutokana na kwamba hamna Jirani wengine mnaofanya nao biashara.

Uganda inategemea soko la Kenya by 90%, Kenya inategemea soko la East Afrika by 80%, Tanzania inategemea soko la East Afrika by only 20%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya badala ya kuonyesha ushirikiano wa kikombe cha Madagascar mnasubiria chanjo ya majaribio. Yaani badala ya kuunga juhudi za Africa mnaunga za Mabeberu, so sad ila mtaanza kuvuna mlichopanda IMF.
 
Leta takwimu, nimekupa link ya kusupport nilichozungumzia. Kama unabisha kwamba Uganda wanauza bidhaa nyingi Kenya zaidi ya Tz na kwamba 70% ya mahindi ambayo Kenya inaagiza kutoka nje yanatoka Uganda tupia ushahidi. Kumbuka kwamba % hiyo ya mahindi sio yale ambaye wakenya wanatumia bali ni deficit(pengo), ambalo linawachwa baada ya mahindi ambayo yanakuzwa na wakulima wa Kenya kutumika.
 
1. Wao wale pesa zao sisi tunakula chakula chetu.
2.Tuna nchi nyingi tu za kuwauzia ,wakinyoo tutawauzia
3. Lengo kuwanyoo kwa Muda tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…