Chief, funguka basi.....Yalikuwa predicted kwenye maisha ya sir Abraham linkolin aliyeishi Duniani Kama mfano tuu wa ajae sir Kennedy my lovely ever!
Ngoja wajuvi waje hapa ila ukipeleleza tarehe za wao kuzaliwa, kuoa, kuzaa watoto, kuulika... Majina yaliyo waua na mengi vilikuwa similar
Dunia haiendeshwi na watu mkuu,mbona hawawezi kuirudisha nyuma Kama kweli wao ndo wanaoiendesha?MKUU KILA JAMBO KATIKA DUNIA HII LIKO PLANNED TOKA KWA WANAOIENDESHA DUNIA
Basi mmarekani noma manake homa ipo karibia dunia nzima mpaka kwa washirika wake Korea Japan ulaya yote na Cha ajabu mpake kwake marekani ipo hii bio weapon Sasa sijui mmarekani chizi anajipiga mwenyewe bio weaponPasi na shaka covid 19 ni bio weapon deadly ya mmarekani yupo anamchora tu mchina uchumi unavyo yumba
Usisahau hata UKIMWI uliwagusa hata wasio walengwaBasi mmarekani noma manake homa ipo karibia dunia nzima mpaka kwa washirika wake Korea Japan ulaya yote na Cha ajabu mpake kwake marekani ipo hii bio weapon Sasa sijui mmarekani chizi anajipiga mwenyewe bio weapon
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakwambia hata hiyo ya the walking dead kuna dude soon watalileta hapo hapo USA....litawaathiri the same kama the TWD...au world war Z. Wanasema ule ukuta si wa kuzuia watu waiingie bali ni wa kuzuia watu wasitoke.Na utakuta hapo alipo ana elimu kubwa tu lakini ndiyo akili yake imeishia hapo alipo.Umesikia Jambo kama hilo.Ingia kwenye Source tafuta upate maarifa.
Hawa ndio wanatupa nyakati ngumu sana kufanya wasomi waonekane wote hawajielewi.
Angalieni mfano FRINGE..The Lastship na series kama Walking Dead.Watu hawatungi tu Vitu from no where.Kuna vitu vingi sana.