Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

Chief, funguka basi.....
Maana inaonyesha una madini.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuwasadikishi makuhani sisi. Hao no makuhani tu Kama makuhani wengine.
 
lutemi,
So, what should we take people; is it true that the book was manipulated ? And why we have noticed after the outbreak [emoji40] of Corona?
 
Jana nikawa safarini mtu wangu alinitumia kitabu na baadhi ya kurasa ambazo zinautaja mji wa Wuhan ambao ni kitovu cha ugojwa wa corona. Kitabu hiki alikisoma miaka zaidi ya19 iliyopita akiwa mwanafunzi huko Marekani. Hivyo tuzidi tu kumuomba Mungu usiingie huko uswahili kwani naamini mazingira ya huko hasa shule za msingi za vijijini ambako unakuta darasa moja lina wanafunzi 100 itakuwa ni hatari Sana.

Inashauriwa mara upatapo dalili za Corona basi chemsha maji ya uvuguvugu na kata vipande vya limao na kunywa hii inaweza kukuponya kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pasi na shaka covid 19 ni bio weapon deadly ya mmarekani yupo anamchora tu mchina uchumi unavyo yumba
 
This book originally called the Virus “Gorki-400,” because it was the 400th virus developed in Gorki, where Russia has a big military bio lab. Later editions of the book changed that to Wuhan, because China has a big military bio lab just outside of Wuhan.

The book is just a spy thiller, it’s not a prediction. If you want the whole story, go to Snopes. It’s about a 3 minute read. There are about 10 things wrong with the “prediction” theory.
 
Pasi na shaka covid 19 ni bio weapon deadly ya mmarekani yupo anamchora tu mchina uchumi unavyo yumba
Basi mmarekani noma manake homa ipo karibia dunia nzima mpaka kwa washirika wake Korea Japan ulaya yote na Cha ajabu mpake kwake marekani ipo hii bio weapon Sasa sijui mmarekani chizi anajipiga mwenyewe bio weapon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakwambia hata hiyo ya the walking dead kuna dude soon watalileta hapo hapo USA....litawaathiri the same kama the TWD...au world war Z. Wanasema ule ukuta si wa kuzuia watu waiingie bali ni wa kuzuia watu wasitoke.

Ukiacha kipindupindu haya magonjwa mengine yote ni labalatory work maleria/hiv/ebola na hii corona nothing happen by mistake...mara zote inakuwa planned. Nasikia pia ni mbinu ya kututoa kwenye cash system twende kwa cashless system iwe rahisi kututawala.

Maana ukiambiwa kesho kuwa pesa noti zinasaidia kusambaza huu ugonjwa unajua wat next....ili kuiweka hizi system za bitcoin zikae mazima. Maana sio kwamba zinakuja kwa bahati mbaya hizo zote ni pre planned now watu wanaziona kama labda hazitake over cash but soon itakuwa hivyo.

The problem kwa hii virus hawakutegemea kuwa africa ingegoma kusambaa kwa haraka na why watu hawafi kama huko ulaya. So now wamezama labalatory tena wanaifanyia remix corona ikoja 2nd wave waafrika hakuma rangi tutaacha kuona.

Bill gates alisema wanatgemea watu mil 10 kufa africa sababu ya corona so.lazima walitimize hili sadaka yao itimie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…