pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Kondoo wa Gwajima sio wote mkuu, ukiambiwa wewe ni kondoo wa Gwajima maana yake ; wewe ni fala, hujitambui, mjinga na limbukeni usiyejua maandiko wala dunia iendako.Sisi waislamu tuko makini sasa sijui kuhusu nyie kondoo wa Gwajima.
Zanzibar walichoamua ni mandatory/forced quarantine na sio self-isolation ambapo unabembelezwa kiuraini ukajiisolate mwenyewe popote upendapo. Go look for info.Tofautisha quarantine na self isolation.
Kaka Pascal Mayalla Najua you are being sarcastic, but it's not helping. Not this time Mkuu. PleaseMkuu Ruta Shuba Nyuma, huu pia ni unabii wa majanga, ni ramli chonganishi kutuchonganisha na Mungu.
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba! - JamiiForums
Ugonjwa wa Corona ni ugonjwa wa shetani na unaenezwa kishetani, Tanzania ni taifa la Mungu, sio kama Italy, hivyo Mungu ametukinga na ushetani wa Corona. Tuacheni kutishana, wananchi tuchape kazi.
P
Kijana usikurupuke,quarantine ni zuio la kutembea kutoka sehemu moja hadi nyingine iwe kwa mnyama ambaye hana ugonjwa au anao. Ndicho kinachofanyika Italy na France. Tofauti na self isolation.Zanzibar walichoamua ni mandatory/forced quarantine na sio self-isolation ambapo unabembelezwa kiuraini ukajiisolate mwenyewe popote upendapo. Go look for info.
Tusitishane jamani.Kaka Pascal Mayalla Najua you are being sarcastic, but it's not helping. Not this time Mkuu. Please
Rais Magufuli tumemuelewa ila wewe ndio shida kidogo kukuelewa point yako!
Huenda ikahusisha wanaccm tu ili kupambana na Chadema na mshirika wake Corona.Ni swali fupi tu;
Je kamati ya kudhibiti virusi vya Corona iliyo chini ya Waziri Mkuu inahusisha pia wajumbe kutoka Zanzibar?
Maendeleo hayana vyama!
Hatutishani mkuu, tunapeana tahadhari.Tusitishane jamani.
P
Wahuni TU hao,Tanzania tusizoee mambo ya kamati kila janga, wizara ya Afya na wizara nyingine zinaweza kutekeleza majukumu yote yenye kuhusu Corona.
Hizo kamati tutaunda ngapi jamani.