Sasa mkuu ulitaka wakija na corona Nani akuweke katini mkuiMeko anahofu ya uchumi jamani tufanyeni kazi tusidolole kiuchumi wakulima limeni getegete!
Ila kuna mahali nina dukuduku hao watakaowekwa karantini wataweka kwa gharama zao kwanini..?
Ni kwamba wanajaribu kupunguza wasafiri kuja huku au..??
Sent using Jamii Forums mobile app