Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Nchi za kiarabu nyingi zimefunga misikiti watu waswali majumbani mwao.
Nashangaa pamoja na juhudi zinazochukuliwa kwa nini misikiti na makanisa yasifungwe???
Au huko ndio dawa ya corona ilipo??? Mambo ya corona go corona go....halafu ita go kweli??!!
Take a total responsibility close all the beaches, all the churches and mosques just to mention a few.
Migahawa na restaurants ziwe wazi lakini watu wachukue take away.
Zoote hizi ni baadhi ya hatua wenzetu waliofanikiwa Ku tackle corona wanafanya.
Other than that mi naona tuna play act tu tuonekane we are doing something or rather we are being serious which isn't the case.
Nashangaa pamoja na juhudi zinazochukuliwa kwa nini misikiti na makanisa yasifungwe???
Au huko ndio dawa ya corona ilipo??? Mambo ya corona go corona go....halafu ita go kweli??!!
Take a total responsibility close all the beaches, all the churches and mosques just to mention a few.
Migahawa na restaurants ziwe wazi lakini watu wachukue take away.
Zoote hizi ni baadhi ya hatua wenzetu waliofanikiwa Ku tackle corona wanafanya.
Other than that mi naona tuna play act tu tuonekane we are doing something or rather we are being serious which isn't the case.