Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
learn to appreciate someone IQ and talent, thats allHakuna mahali nimelinganisha kati ya yeye na mimi, nilichozungumza ni ile hali ya ninyi kumwona kama yeye ni authority.
Kwamba anachokisema mnaona kama hakitakiwi kukosewa.
Sijawahi kumpenda wala kumchukia, namchukulia kama member wengine tu humu, na ninachokisoma kwake lazima nikithibitishe mahali kama inawezekana.