Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12

Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12

Wewe Ni mwongo huko makini kusikiliza kabisa unaonyesha jinsi gani uko mtupu kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe pia haupo makini ? Unaandika kiswahili ulichojifunza wapi ? lugha mbovu kabisa inatumika kukosoa mtu ambae hayupo makini instead unasema HUKO MAKINI ?...kuandika hujui, unawezaje kujua kama mtu yupo makini au sio makini ?...

KABLA HAUJAKOSOA MAKE SURE UPO RIGHT 95 % ...WEWE NDIO UMEONYESHA HAUPO MAKINI KABISA YAN...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
toughlendon_1, Nawewe ni walewale Hujui Lugha. KUONYESHA maana yake nini?Hapo mmekutana VILAZA watupu.

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Nawewe ni walewale Hujui Lugha. KUONYESHA maana yake nini?Hapo mmekutana VILAZA watupu.

Senti bai yuzingi tecno T301

mkuu next time kuwa makini unapokosoa wenzako, ushamba mzigo mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tulichoambiwa Sala na Maombi ndiyo yatakayoondoa Corona kwasababu huu ugonjwa umeletwa na Shetani.

Hayo mambo ya kujikinga kwa Masenitizers mutajuwa wenyewe.
 
learn to appreciate someone IQ and talent, thats all

Mkuu I usually do, ila ni mpaka uwe umeni-impress. Kwangu he is just a person who likes to write.

Vitu anavyoviandika hata wewe ukisema uamue kuwa unaviandika unaweza, havina maajabu.
 
14 hour long curfew in India
Tusichukulie mzaha
Tahadhari ni muhimu
Kaa mbali na mikusanyiko ya watu kadri unavyoweza


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Halafu hii tabia Rais anatuambia "Chapeni kazi" yakija majanga anajiweka mbali na kutoa lawama kwa waliopatwa na janga ife! Corona ni hatari na tutasema hivyo hata kama tunawatisha kwa kusema hivyo basi na tuseme tuu!
 
Back
Top Bottom