Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia kusoma naweza kuwa Nina corona hangover nisamehe tuHayo Ni mawazo yako afu kile kiswahili Kiko very clean nashindwa kuelewa kwanini hujaelewa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Sasa Yuko bize anafuta comment zake za tropical diseasePascal Mayalla chutama bro wangu, CORONA is real
Wingi unaanzia mbili, mimi simpendi angejisemea yeye na nafsi yakeWewe umejuaje ,wengine hawampend the statement is those who love him
Sent using Jamii Forums mobile app
naombe mzi-screen shot, ogopa teknolojia
Wewe ndio uache ujinga...
Mgonjwa wa Kwanza amepimwa ameonekana hana covd 19... Au ndio unasubiri ufafanuzi au tafsiri kutoka kwa Polepole...
kesho huenda ikapungua maana watu wanasali sana na wanasema ni ugonjwa wa sijui watu waganiKwaiyo yule mgonjwa wa kwanza wa Arusha yalikuwa maigizo.. na Iwagonjwa waalishafikia 6.... Leo 12.
Nikukumbushe tu idadi ilikuwa 1 ikaja 3 ikaongezeka 6. Au leo tumeanza upya kuhesabu ?
A Chinese trial in 340 people showed that the virus tended to be cleared in four days in those who received the drug, versus 11 days in those who went without. Hiyo Ni taarifa WHO ,Unashindwa kutofautisha ,dalili na siku za kirusi kuisha mwili the viral disappeared even without treatment sawa wewe nyumbuuWewe ndio uache ujinga...
Mgonjwa wa Kwanza amepimwa ameonekana hana covd 19... Au ndio unasubiri ufafanuzi au tafsiri kutoka kwa Polepole...
Bwashee ulimuamini mwana FA!Duh...!.
Nimekubali na nachutama.
P
kesho huenda ikapungua maana watu wanasali sana na wanasema ni ugonjwa wa sijui watu wagani
Mimi nampenda mkuuWingi unaanzia mbili, mimi simpendi angejisemea yeye na nafsi yake
Uungwana.. now tuzungumze lugha moja..Duh...!.
Nimekubali na nachutama.
P
Naogopa kunukuu maana JIWE kasema tusitoe takwimu, si unaona zimeruka toka 6 mpaka 12? na tabia ya CORONA ni namba witiriMheshimiwa jaji...
Namba hazidanganyi...
1,3,6,12,24,48,100....1000+...
Wale kwanza mmoja ,amepona ,Sasa huelewi nin hapoKwaiyo yule mgonjwa wa kwanza wa Arusha yalikuwa maigizo.. na wagonjwa waalishafikia 6.... Leo 12.
Nikukumbushe tu idadi ilikuwa 1 ikaja 3 ikaongezeka 6. Au leo tumeanza upya kuhesabu ?
Anasema tuombe mungu tusitishane.Kwa kuwa corona haijamuuwa mtu hata mmoja nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inamaana taarifa ilitakiwa itolewe na wazir kuwa wagojwa wameongezeka ,lkn kabla ,ya taarifa mkubwa katoa taarifa ya ongezeko Sasa shida nin labdaNaogopa kunukuu maana JIWE kasema tusitoe takwimu, si unaona zimeruka toka 6 mpaka 12? na tabia ya CORONA ni namba witiri
A Chinese trial in 340 people showed that the virus tended to be cleared in four days in those who received the drug, versus 11 days in those who went without. Hiyo Ni taarifa WHO ,Unashindwa kutofautisha ,dalili na siku za kirusi kuisha mwili the viral disappeared even without treatment sawa wewe nyumbuu
Sent using Jamii Forums mobile app