Sasa mkuu ulitaka wakija na corona Nani akuweke katini mkuiMeko anahofu ya uchumi jamani tufanyeni kazi tusidolole kiuchumi wakulima limeni getegete!
Ila kuna mahali nina dukuduku hao watakaowekwa karantini wataweka kwa gharama zao kwanini..?
Ni kwamba wanajaribu kupunguza wasafiri kuja huku au..??
Comment yake ya jana aliandika hakuna atakaye ambukizwa leo idadi imeongezeka.
Hakuna mahali taarifa zinasema wagonjwa hupona kwa siku 14,bali dalil za ugonjwa Kama uko ndani hujionyesha kwenye vipimo in 14 days jitahid Sanaa kuwa mwelewa mkuu, kupona even in single day covid can be killed ...Ni Jambo la kheri kusikia Mgonjwa wa kwanza amepona kabla hata ya kutimiza siku 14 tangu apimwe.. Pascal anaweza kuwa sawa eeeh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umejuaje ,wengine hawampend the statement is those who love himSema Unampenda, usiwasemee watu.
Unajua kuhutubia taifa ,wewe ?Mbona hata leo kahutubia taifa, na Msigwa katoa clip na taarifa ya maandishi! JPM ni mkweli sana wakati akimalizia salamu zake ibaada ya leo kasema ... nitakuwepo hapa na watani zangu wagogo ...nitakuwepo hapa hadi mwisho wa maisha yangu...ina maana yasemwayo ya maisha yaja!?
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa nguvu sana jamanAlikua anaongea na Viwavi wa CCM
Mawazo ya mjinga yahesimiwe...Ila corona imemsaidia sana Magufuli kwa sababu kwa sasa hakuna hata mradi mmoja ilutakaokamilika kwa wakati kuanzia flyover ubungo, sgr, ndege kupost hasara ya kufa mtu na stigla. Yote haitakamilika na sababu atasingiziwa corona
Sio ya Jana tu mkuu Comment yake ya Nusu SAA iliyopita kasema anasimamia kauli yake Mara kumi hakuna mtanzania atakayeambukizwa akiwa Tanzania kwamba ugonjwa huu Ni wa nchi za Baridi sio tropical disease.Comment yake ya jana aliandika hakuna atakaye ambukizwa leo idadi imeongezeka.
Chelikali
Kwani wanaotibiwa huko nje,wanapona kwa siku ngapi ?Wewe ndio uache ujinga...
Mgonjwa wa Kwanza amepimwa ameonekana hana covd 19... Au ndio unasubiri ufafanuzi au tafsiri kutoka kwa Polepole...
Pascal Mayalla chutama bro wangu, CORONA is realPascal Mayalla ukuje hapa kutuelezea Jiwe anasema wagonjwa 4 TU ndo imported cases, Je bado unasimamia huu Ni ugonjwa wa wazungu? Hauambukizwi Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
InashangazaLeo ndio watu wanaanza kuwekwa karantini?[emoji15][emoji15][emoji15]