Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Ni kwa nini vyuo/shule zisifungwe...
Viwanja na safari za ndege zisisitishwe...
Michezo na shughuli zote za mikusanyiko zisisitishwe...
Kwanza muda wa at least two weeks ndo hizo hatua nyingine alizotangaza waziri zifuate??
Tukiendelea kulala tutajikuta hivi virusi vimetoka kwa wagonjwa wanaosafiri kwa ndege vimefika mitaani kule madongo kuinama...!!
Viwanja na safari za ndege zisisitishwe...
Michezo na shughuli zote za mikusanyiko zisisitishwe...
Kwanza muda wa at least two weeks ndo hizo hatua nyingine alizotangaza waziri zifuate??
Tukiendelea kulala tutajikuta hivi virusi vimetoka kwa wagonjwa wanaosafiri kwa ndege vimefika mitaani kule madongo kuinama...!!