Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Wewe nae unaongea kma huna ubongo ukiwawajibisha ndo ugonjwa unaisha ama ni bange tu umekurupukaHebu tusihamishe magoli hapa, kuna watu wanapaswa wawajibike, huyo mgonjwa aliingia na hakuwekwa karantini, kama angekaa karantini tusingekuwa tunamzungumzia leo. Watu wanafanya kazi kwa mazoea, uongozi wa airport uwajibike, waziri wa afya awajibike.
Kutoa matamko... ya kila Mara!Kwa mipango gani madhubuti?...
Wataelewa tu,ingawa kimapato kina gwajima watakula hasara,
Wewe unafikiri kwa kutumia matakoHili sio chezo hili? Kumbe kuna pesa itatolewa kwa mataifa yenye Corona? Huenda Corona haijaingia ila hiyo pesa imeshawatoa udenda. Awamu hii inavyopenda pesa, naangalia jinsi watu wanavyokamuliwa pesa mahakamani, wengine wanaambiwa watubu watoe pesa ili waachiwe, sitashangaa kuona pesa iliyotangazwa imeshawatoa udenda watawala, wameona nao watangaze
Hapo chachaWanazuia mikusanyko, wakat huo huo kila jiwe anapopita anakusanya kijiji
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Nchi ipi hiyo iliyojikinga?Wakulaumiwa lazima awepo , haiyumkiniki nchi kubwa zenye maendeleo makubwa wajikinge na corona alafu sisi tusubirie kama tunatolewa kafara. Mungu atusaidie tu kwa maana sijaona nchi yenye masihara na mapuuza kama hapa tz.
Kwann mipaka haikufungwa, huu utalii unamaana gani zaidi ya maisha ya watanzania.
AISEE !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, kwa matako yako, fala weweWewe unafikiri kwa kutumia matako
Utatembea kwa miguu, lakini ipo siku utapata safari ya mbali na ya lazima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora labda CCM itaacha kutuonea
Bora labda CCM itaacha kutuonea
Russia ilitunga sheria,mtu Kama huyo jela miaka 5.Huyu mtu akifungwa afunguliwe kesi ya money laundry na uhujumu uchumi. Fikiria ndani ya muda mfupi alivyozurura, mara sweden, Mara Norway mara Ubelgiji kibaya zaidi anakwenda nyumba zenye wagonjwa, na bado akaja Tanzania, kwenye denge kasambaza, uwanja wa ndege kasambaza, hotelini kasambaza na hospital kasambaza
Kwani ww uko wapi?Hapo airport ni wangapi wamepita na vipimo vimezingua
Pole sana mazee Mungu awasaidie [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app