Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Tuwafungie hata watanzania walionje ya nchi? Nimeenda Malawi muda wa kukaa umeisha hivyo nibaki Malawi?
Sikutegemea hata wewe ukose akili kiasi hiki, hivi wanavyofanya wenzetu Ni kwamba hawawapendi wananchi wao walioko nje?

Uganda tu hapo ametoa tamko hapo juzi ukiwa unatoka nje ya nchi yao ukirudi unakaa karantini uwe navyo usiwe navyo..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia hili tangazo na comments za wanajf, nimegundua kati ya forums zote duniani,hii ni forum ambayo imejaa watu wanapenda kuchukulia mambo kisiasa zaidi.Mbaya zaidi kuna kikundi cha watu wapumbavu na hayawani wanaodhani Covid-19, ipo kwaajili ya kuwakomboa wao,na kutimiza matakwa yao ya kisiasa.Watu wa aina hiyo wanaofurahia utawapata Jf tu, na sio kwenye platform nyingine za kijamii.Narudia tena Huo ni upumbavu na upunga wa hali ya juu.Na kama haya madudu mnayo yaandika humu, ndo yale yaliojaa mioyoni mwenu,Anapokaa sizonje mtapasikia tu.
Mbona unakuwa muoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila akina mama ni wabishi kinoma, yaani waliamniwa msiende kuzurura zurura lakini wapi ona sasa 'danga' la ubeligiji na Denmark litakavyo tupukutisha…….
Yupo mmoja ninaemjua ameshauriwa na kila aliyeweza kuzungumzia naye lakini juzi huyo kakimbilia kupanda pipa na mipicha juu kutuumiza roho tuliokuwa tunamshauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakimu Mfawidhi,
Imeisha hiii,tutalufa kama kuku wa kideri au mdondo. Watu wako busy na chadema huku kuna janga linakuja still chadema,hana habari ya kufunga mipaka kaenda kukagua madaraja atapita nani!? na tukifa na hiyo corona atamuomgoza nani?? Tuna watu mabogus kweli wanaotuongoza,wanatumia mihemko badala ya akili
 
Ilo genge la wapinzani ukiwatazama vizuri ni wachumia tumbo walio pindukia yani hutumia elimu zao kuwachota mabodaboda ambao hawaelewi hata wana pinga nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Bodaboda unaowadharau ni matokeo ya mfumo mbovu wa ccm, Bora hao wachumia tumbo kuliko wale mafisadi walisain mikataba mibovu na bado wapo uraini
 
Back
Top Bottom