simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Sikutegemea hata wewe ukose akili kiasi hiki, hivi wanavyofanya wenzetu Ni kwamba hawawapendi wananchi wao walioko nje?Tuwafungie hata watanzania walionje ya nchi? Nimeenda Malawi muda wa kukaa umeisha hivyo nibaki Malawi?
Mbona unakuwa muogaKupitia hili tangazo na comments za wanajf, nimegundua kati ya forums zote duniani,hii ni forum ambayo imejaa watu wanapenda kuchukulia mambo kisiasa zaidi.Mbaya zaidi kuna kikundi cha watu wapumbavu na hayawani wanaodhani Covid-19, ipo kwaajili ya kuwakomboa wao,na kutimiza matakwa yao ya kisiasa.Watu wa aina hiyo wanaofurahia utawapata Jf tu, na sio kwenye platform nyingine za kijamii.Narudia tena Huo ni upumbavu na upunga wa hali ya juu.Na kama haya madudu mnayo yaandika humu, ndo yale yaliojaa mioyoni mwenu,Anapokaa sizonje mtapasikia tu.
Television ya taifa bado inatangaza matangazo ya watoto muda huu...LolView attachment 1389930
Ngoja tuone kama kweli kutakuwa na mikutano huo mwezi wa nne,
Mnamkumbuka Mungu kipindi cha shida [emoji28][emoji28]Huu ndio muda wa kufunga na kukesha kwa maombi na kutoa shukrani kwa Mungu wa Mbinguni.
Usiwe na Shaka itasimama kwa muda.Kamanda Mbowe keshatangaza mikutano ya hadhara nchi nzima, duh.
Yupo mmoja ninaemjua ameshauriwa na kila aliyeweza kuzungumzia naye lakini juzi huyo kakimbilia kupanda pipa na mipicha juu kutuumiza roho tuliokuwa tunamshauriila akina mama ni wabishi kinoma, yaani waliamniwa msiende kuzurura zurura lakini wapi ona sasa 'danga' la ubeligiji na Denmark litakavyo tupukutishaβ¦β¦.
Hivi viliovyenu vinaniacha hoiπDear God! Tumekwisha!
Tuna hela za kununua ndege TU kwa cash moneyStupid kabisa. Wanashindwa kuweks hata kwenye hosp za rufaa
It was just a matter of when, and not if jamani.. Hivi kuna watu waliodhani Tanzania corona haitaingia..?
Na yaliambiwa na tulisema humu, ila yanasikiaga sasa? Kiburi huja kabla ya anguko. Majinga sana, eti yataweka sanitizer huko mbugani! Yaani bado hayaelewi, kichwa ngumu na kiburi.Ukichwa panzi fulani hivi,hizi safari zilitakiwa kisitishwa muda mrefu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bodaboda unaowadharau ni matokeo ya mfumo mbovu wa ccm, Bora hao wachumia tumbo kuliko wale mafisadi walisain mikataba mibovu na bado wapo urainiIlo genge la wapinzani ukiwatazama vizuri ni wachumia tumbo walio pindukia yani hutumia elimu zao kuwachota mabodaboda ambao hawaelewi hata wana pinga nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaa...Makandaaaa Makamandaaaaa.Mpumbavu weye nawe unatoa wasaa!
Maajabu