Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
tutakao baki mabasi yote ya mwendokasi yatakua yangu nimewahii
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwishoe mpaka hii serikali ya awamu ya tano imetuletea corona....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mama anatupenda sana watanzania kwa kujifanyia safe isolation kiukweli anastahili kupewa tuzo kubwa sana kwa kuokoa mamia kama sio maelfu ya watu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ngoja tuishie hapa mkuuLOooh!
Wewe mwana mama upo 'sharp' kweli!
Hilo swali hakika sina jibu, lakini naliunga mkono moja kwa moja.
Watu hupenda sana kutishia wenzao kumhusu Mungu.
#UNAAMBIWA Waziri wa Afya Ummy Mwalimu @ummymwalimu amesema ameongea na mgonjwa aliebanika kuwa na corona Tanzania kwa njia ya simu na katika maelezo yake amesema alipokuwa Ubelgiji nyumba ambayo alifikia, Mume wa mwenye nyumba hiyo aliugua corona, itakumbukwa mgonjwa huyo alipofika Airport KIA hakubainika kuwa na homa ila alijishuku na akaenda kujifungia Hotelini asichanganyike na Watu, kisha baadae akaenda Mount Meru Hospt na sampuli ikachukuliwa hadi Maabara DSM na kuthibitika kuwa ana virusi vya corona.
Mkuu bado husband and wives/boyfriend and girlfriend/ chldrens and parents wa hao waliyokutana na huyo mgonjwa
Ndiye aliyetangazwa so far bwashee!Serious !??
Ivi unaamini mtu akiongea anayoongea au uharisia,
Kujifanyia isolation its impossible ata mwenyewe nikiwa nao lazima nitasema hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa umenichekesha sanaI cant believe maisha yote nimesikiliza nasaha za mama za kutokujihusisha na uhuni nisuje nikapata HIV. Halafu leo nakuja kufa kwa mafua. That's not fair
Ndiye aliyetangazwa so far bwashee!
Hii story ya Ummy haipo sawa. Subirini muda ukifika mtaniambia.....
Kimewaka hapo ujue,anahisi wote ni watoto anakuja na hoja za kupumbaza
Ilitakiwa Hotel yote iwe chini ya uangalizi maalumu.Waziri upo serous kwelii!!!!?
Kuwa mgonjwa anaendelea vizuri?
Anyway hapa kuna namna katika ugonjwa huu.
Tuambieni mgonjwa alikuwa hoteli gani na je mmechukua hatua zozote juu ya wahudum wa hoteli aliyokuwepo? maana hata kushika mlango tu ni njia ya kuambukiza je mlango alokuwa ameushika wahudum hawaushika?
Sent using Jamii Forums mobile app
tutakao baki mabasi yote ya mwendokasi yatakua yangu nimewahii
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chukueni vyote ila Ikulu ya Magogoni yangu, nimewahiii.Achaga ujinga, Mimi nimewahi treni ya Ubungo to Posta, nitauza scrapper
Don't make a promise you can't fulfill...