Unatafuta bwana? Fuata yako. Kenge weweUjinga wewe kila mahala ni siasa tu. Au nimtafuta fursa
Alisema kule Mara kuwa sisi hatuwezi kupambana na Corona . Hapo walipo wako mwisho labda msaada wa njeDada wa Tanga hayupo serious, ningekuwa president ningemfukuza kazi.hakuchukua tahadhari ya kutosha, just shouting at what she doesn’t know
Kauli za vijitu vimbeavimbeaNasikia kimeshawaka huko.
Hebu dadavua tamko la Mhe. Mbowe ni la saa ngapi na tangazo la Waziri ni la saa ngapi... Kama inataka click vile!?!
Na kwa nini upewe bure?huna nguvu za kufanya kazi?au wewe ni miongoni mwa wake wanyonge wapenda slopeHawa c ndo wale wanaojiita wapinzani hata wakiambiwa kila raia atapewa kiwanja bure bado watapinga tu kwasababu wao wanajiita wapinzani , upumbavu katika ubora wake ndo mana sikuhiz raia wenyewe upinzani hatuuelewi unapoteza radh kwa upuuz Kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaahahahah!Ivi jamani ukijihisi mfano una dalili za Corona na kuchukuliwa na kuwekwa karantini inamaana mahitaji yote ya malazi unapewa na serikali ama ukitengwa kivyako vyako.......Hii hali ilivyokuwa ngumu uku mtaani nyie mnaonaje
Waliambiwa sijui CCM ni viumbe wa wapi those are fu.ck...sKazi ipo !
Huyu mama hajaamua kutuua mkuu. Huyu mama ameamua akimbie kuja home kwani huku corona ni mchumba tu. Angebakia huko si ajabu tungeisha sema RIP. Lakini kwa sasa mama amepepewa dawa ya mafua maarufu kwa jina la chengachenga yuko guuuuuda.Yani huyu mama kaamua kutuua kabisaaa
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Bora labda CCM itaacha kutuonea
Akajifungia hoteli.#UNAAMBIWA Waziri wa Afya Ummy Mwalimu @ummymwalimu amesema ameongea na mgonjwa aliebanika kuwa na corona Tanzania kwa njia ya simu na katika maelezo yake amesema alipokuwa Ubelgiji nyumba ambayo alifikia, Mume wa mwenye nyumba hiyo aliugua corona, itakumbukwa mgonjwa huyo alipofika Airport KIA hakubainika kuwa na homa ila alijishuku na akaenda kujifungia Hotelini asichanganyike na Watu, kisha baadae akaenda Mount Meru Hospt na sampuli ikachukuliwa hadi Maabara DSM na kuthibitika kuwa ana virusi vya corona.