DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Taarifa za habari zimethibitisha kuwa kuna mgonjwa mmoja Wa korona mwanamke Wa miaka 46 aliyesafiri kutoka Ubeligiji kuja Tz kupitia Kia.
Mwanamke huyu alilazwa katika hospitality ya Mount Meru lakini ghafla alihamishwa na kupelekwa Mawenzi Moshi, je ni kwa mini, wataalam watujuze
Sent using Jamii Forums mobile app
wazanzibari wanaopewa umeme free wenyewe ni wanyonge?Na kwa nini upewe bure?huna nguvu za kufanya kazi?au wewe ni miongoni mwa wake wanyonge wapenda slope
On serious note mathematics of corona transmission.Results 1 to approximately 4 secondary infections.
Kwani wazanzibari wanapewa umeme free???wazanzibari wanaopewa umeme free wenyewe ni wanyonge?
“Curanteined” siyo sahihiMaelezo yanaonyesha mgonjwa alipimwa hakukutwa na Corona KIA. Akaenda kukaa hotelini mpaka alipojisikia vibaya. Je kitendo cha kwenda hospitali mwenyewe si ni risk?. Wenzetu huko hufuatwa na Madokta walipo sisi kwetu wagonjwa ndo wafuate madokta
We are not serious. Maelezo ya hatua za kuchukua ya waziri hayaoneshi tunadill vipi na wageni wanoingia nchini vipimo vinapaswa kuwa kwenye viwanja vya ndege vyote vya kimataifa na siyo kupeleka sampuli Dar. Aidha wageni wote inabidi wewe curanteined ili kwa siku kadhaa wakichunguzwa.
Kweli? Source?
Mi nahisi ipo maeneo mengi tu subiri baada ya wiki utaniambiaKweli? Source?