Kwakweli ata mimi kanishangaza sana how stupid is this woman yaani utoke nyumba yenye mgonjwa huko ulipo tena na kifua ameshapata ndio aamue kurudi Tanzania.Atimize wapi huyo wakati alitumia mbinu azijuazo kutuletea hili janga huku.
Soma vizuri hiyo taarifa inasema aliondoka TZ tarehe 5 mwezi huu kwenda kuzurura na kupiga selfie sweden, Denmark then Ubelgiji hata baada ya taarifa kibao kuwaasa watu wasisafiri.
Katambua kabisa ameishi na mtu Mwenye virus lakini still kaona asafiri Tena kutuletea na sisi zawadi ya Corona mpya kabisa aliyoenda kuitafuta kote huko.
Nimemchukia Sana huyo mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma ilishatinga kitambo!
Inawezekana vipi kuwa mgonjwa tarehe 15 kapita uwanja wa ndege akiwa hana dalili yoyote na tarehe 16 ithibitishwe ana corona?!!!
Huyo mwanamke iweje atoke matembezi majuu atue saa 10 jioni KIA na kuishia hotelini badala ya kufikia kwake??!! Au alikuwa anasubiria saibaba ya saa nne yenye bei nafuu ili aendelee na safari?
Danganyeni wadanganyika, serikali ya kiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada wa Tanga hayupo serious, ningekuwa president ningemfukuza kazi.hakuchukua tahadhari ya kutosha, just shouting at what she doesn’t know
Mmh poleni..damu ya Yesu ikufunike.1. Watu wanamastory ya kila rangi
2. Wagonjwa ni zaidi ya hao mliowasikia
3. Mjini watu washavaa mask
4. Wachina wamegawa mask + gloves kwa watoto wa shule-freely
5. Pharmacy na supermarkets sanitizer na mask zimeanza kuadimika
6. Wananchi tunaogopa (sbb kirusi hakina dawa
NB. Mtuombee sana maana Arusha hakuna joto
Duh ni kwel au unazingua man dah ngoj niwashe TV rait nao
#KWAKO_MUUZA_MABATI
Kwani wazanzibari wanapewa umeme free???
Amina babe 🙏🙏
Kuwa imara best mtakuwa salama.1. Watu wanamastory ya kila rangi
2. Wagonjwa ni zaidi ya hao mliowasikia
3. Mjini watu washavaa mask
4. Wachina wamegawa mask + gloves kwa watoto wa shule-freely
5. Pharmacy na supermarkets sanitizer na mask zimeanza kuadimika
6. Wananchi tunaogopa (sbb kirusi hakina dawa
NB. Mtuombee sana maana Arusha hakuna joto
Unataka tupoteze mapato?
Wachina ni marafiki zetu hivyo hatutawazuia kuja
Alisikika mwana CCM 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa unagundulika baada ya mda gani tangu kuingia mkuu