Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Airport hawashiki passport sikuiz
So hapa kuna connections alizifanya na baadhi ya watu hapo hapo airport,aliyemkagua passport kama aliishika naye aliwazoa virus Mungu jaalia labda alikuwa amevaa vifaa kinga,tax driver aliyempakia kutoka uwanja wa ndege to lodge naye ana hatihati akawa alivizoa na wote wapo mtaani hawazijui hali zao wapo wanafurahi na jamaa zao tu.......

Mungu atunusuru Watanzania tuna mtihani mkubwa sana kuliko hawa wanasiasa wanavyofikiri.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adi akae hoterini na adi asikie homa na mabadiliko ya mwili, ngoma iliingia nayo kitambo tu
Ngoma ilishatinga kitambo!
Inawezekana vipi kuwa mgonjwa tarehe 15 kapita uwanja wa ndege akiwa hana dalili yoyote na tarehe 16 ithibitishwe ana corona?!!!
Huyo mwanamke iweje atoke matembezi majuu atue saa 10 jioni KIA na kuishia hotelini badala ya kufikia kwake??!! Au alikuwa anasubiria saibaba ya saa nne yenye bei nafuu ili aendelee na safari?
Danganyeni wadanganyika, serikali ya kiki

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo hakugindulika. Alikuwa na dalili ila kipimo hakikuonesha ka.a anaumwa. Hivyo akaachiwa aende zake kama swala. Hapo ndio utakapoona hii nchi ni takataka. Then akaja kurudi yeye mwenyewe ndio walipotuma sample dar majibu yakarudi positive.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wenzao bila kujali kipimo kimesoma uko vizuri au la, wanakuweka karantini kwanza kama hutaki rudi ulikotoka
 
Na apo baada ya kuumwa sample ikatumwa dsm
Ngoma ilishatinga kitambo!
Inawezekana vipi kuwa mgonjwa tarehe 15 kapita uwanja wa ndege akiwa hana dalili yoyote na tarehe 16 ithibitishwe ana corona?!!!
Huyo mwanamke iweje atoke matembezi majuu atue saa 10 jioni KIA na kuishia hotelini badala ya kufikia kwake??!! Au alikuwa anasubiria saibaba ya saa nne yenye bei nafuu ili aendelee na safari?
Danganyeni wadanganyika, serikali ya kiki

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwanamke mjinga Sana..kaiepusha familia yake na Corona kwenda kuwaambukiza wengine hotelini. Iwish wizara ya watamfanyia uchunguzi coz navyofaham kabla hujaingia nchini Kuna declaration form mtu anatakiwa ajaze kuonyesha Hali ya Afya yake. Na uhakika hakujaza taarifa za kweli coz endapo angejaza ukweli lazima wangembakiza
Ndio maana nasema Kuna kila dalili mlungula ulitembea ili eti akaji isolate, stupid woman, unaacha kuji isolate ulipoutolea unakuja kuua watanzania wenzako si upuuzi huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila safari yote toka Arusha kwenda Moshi haina tija. Ni vizuri kuweka utaratibu wa matibabu kila Mkoa na Halmashauri. Sasa huko kuhama hama kutazidi kusambaza ugonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mgonjwa huyu tayari alisha contaminate environment na watu wa Arusha lakini watu wetu wakaona wampeleke Moshi na kufungua Quarantine/Isolation place hapo na sio Arusha alikokaa na watu kadhaa Hotelini kwa siku kadhaa, hivi mgonjwa wa Cholera huwa anahamishwa kutoka pale alipougulia?
 
Kwani ugonjwa unatoa taarifa saa ya kuingia.? Huwenda alipata maambukizi ndani ya ndege au dalili kuonekana akiwa safarini.kilichotakiwa ni serikali kuwaweka wageni sehemu maalum kwa muda ili kuwabaini waathirika.
Huwa unagundulika baada ya mda gani tangu kuingia mkuu
 
Mimi nilihisi kuwa labda ni sababu Moshi kuna Joto Kali na Arusha kuna Baridi, na si unasikia kuwa Corona Viruse hawana ubavu Wa kuishi katika Joto Kali, Moshi Joto ni centigrade 32 na wako hawawezi kuishi katika note zaidi ya 20 c ,tunavyosikia. Je lina ukweli hili, wataalam tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwait Kuna joto zaidi ya Dar na corona ipo. Waza Tena Mara ya pili mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii taarifa tunayopewa haikukamilika na i hope waandishi wetu wa habari hawatosikiliza tu na kuchapisha wanachoambiwa bila ya kuuliza masuali mengi tu.

Nashindwa kuelewa imekuwaje huyu mama ameweza kurudi nyumbani bila ya kuwa katika karantini ya siku 14 huko ubelgiji ilhali alishakuwepo mgonjwa katika nyuma alokuwa akikaa? Sheria/muongozo katika nchi zote za ulaya kwa sasa ni kuwa kila mgonjwa na kila ambae anajua kuwa amekuwa karibu na mgonjwa ni kujiweka katika self isolation kwa siku 14. Imekuwaje huyu akaweza kutoka nchini ubelgiji bila kukamilisha siku 14 za karantini? Haiingiii akilini kuwa mtu ambae ameshakuwa exposed na mgonjwa wa coronavirus ulaya aamue kuondoka huko bila ya kutimiza siku 14 za karantini na kwenda Africa. Zidharau huduma za afya Africa lakini nchi za ulaya na marekani wako mbele zaidi katika kupata solution ya ugonjwa huu na pia kuna huduma bora za wagonjwa wa ugonjwa huu kuliko afrika kwa kipindi hiki.

Ikiwa (ingawa siamini hata siku moja) kama alitimiza siku 14 za karantini kabla ya kupanda ndege kurudi huku Tanzania na still amejikuta amepata huu ugonjwa, itabidi serikali ya Tanzania iujulishe ulimwengu kuwa karantini ya siku 14 haisaidii kitu ili muda uongezwe.
Atimize wapi huyo wakati alitumia mbinu azijuazo kutuletea hili janga huku.
Soma vizuri hiyo taarifa inasema aliondoka TZ tarehe 5 mwezi huu kwenda kuzurura na kupiga selfie sweden, Denmark then Ubelgiji hata baada ya taarifa kibao kuwaasa watu wasisafiri.

Katambua kabisa ameishi na mtu Mwenye virus lakini still kaona asafiri Tena kutuletea na sisi zawadi ya Corona mpya kabisa aliyoenda kuitafuta kote huko.

Nimemchukia Sana huyo mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wameanza kuvaa mask mjini,,,
awareness ipo nimefurahishwa baada ya mtoto wa miaka 6 kuniuiliza corona ni nini?,na inaingiaje tumboni😀 na maswali mengine magumu ,ila kuna tetesi za wagonjwa wengine wapya,,na kuna nyumba ipo quarantined
 
WHO na UN walishasema hiki kirusi kikifika kwenye miji mikuu hasa East Africa itakuwa ngumu sana kupambana nacho,
na watakaoumia ni watanzania wa hali ya chini kwa maana wenzenu hawana hata hofu.
anatembelea gari ina piston 8 hawazi mafuta, nyumba kama ikulu.

sisi sasa.

watoto 150 darasa moja.
kuhemea mara 3 kwa siku
daladala ndio usafiri mkuu
mifumo ya malipo(payment methods) ni pesa mkononi.

Jamani hao viongozi huko na familia zao corona wataisikia redioni tu, nasikia uchungu sana, kitu tulikuwa tunaweza kukizuia kabisa lakini uzembe, wamekaa airport na zile mashine za kumulika utasema wanaangalia mikeka ya kubeti.

USA sio wajinga kukatisha safari toka ulaya.

Habari za sanitizer watanzania wangapi wana uwezo wa kununua?
hizo mask na gloves wangapi wanaeza nunua?
mmesahau tunaishi chini ya dola 1?

Mnashindwa kufunga airport mnasema tusalimiane kwa miguu.
 
Back
Top Bottom