Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Pole rafiki yangu, naogopa hadi kurudi huko
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nyepesi zenye uhakika alifikia Pepe hotel, kahotel kadogo Uzunguni karibu na Ikulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kumbe kuna miwatu mijinga kiasi iki[emoji38][emoji38]

Ko apo ndo umemaliza apo
Na conclusion yako ni kuwa corona sio hatari
Nyie watu vichwa vyenu mnavijua wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
There is a difference between worry and concern.
Most of you are worried about corona which does not help anything( ndo maana mmekazana kusema tutakufa kama nzige instead of bring the solution ,mnabaki mnatukanana tu kwenye huu uzi)
Being concerned is understanding something is there and taking proper measures .nahic tumeelewana genius

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama hakika kwa hili waziri mwenye dhamana anatakiwa ajiuzulu kwa sababu ameshindwa kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha.

Suala hili halihitaji siasa waziri wa afya alitakiwa kushirikiana na waziri wa mambo ya ndani kuratibu uingiaji wa wageni mipakani, viwanja vya ndege na bandarini sio tu kusema tusishikane mikono.

Pia hili la sampuli kupimwa Dar sijajua linakaaje kwa walio mbali na mji huo kwa zaidi ya km 1200

Rai yangu viongozi. wajipange kwa kila hali na kila namna na pia ndio wakati muafaka wa jeshi letu kulinda mipaka na utoaji huduma za dharura.....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya ccm ilivyojaa wapumbavu sitashangaa kusikia hili tukio ni la kupangwa tu kuzima hotuba ya Mbowe na tukio la kina Halima Mdee na Bulaya kupigwa na askari magereza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza.huko American wamezuia kabisa kuingia watu kutoka ulaya ambayo ni epicenter ya tatizo kwa sasa. Majirani zetu Kenya na Rwanda wamepiga marufuku kwa siku30 kuingia wageni na shule zimefungwa. Hapa kwetu hataki kushauriwa.pumbaaav

Hao Rwanda waliopiga marufuku inakuwaje ndege zao zinakuja Tanzania? BTW huyo mgonjwa hakufika jana au juzi , Je, alikuja Tanzania lini kutoka nje?
 
Unamchukia ili iweje?kwani hao waliopata huo ugonjwa sio binadamu kama wewe.kwani wewe una uspecial gani huo ugonjwa usikupate?
 
Anaweza kuwa kalipwa na Nani? Kwanini alipwe atuletee Sisi Corona? Ndio Vita ya kiuchumi? Wanatuonea gere sababu ya stiglazi goji au goma letu la umeme Dar - Dodoma dakika Tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…