Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Is it coincidence????
E1A3AA15-34B4-42FE-9B64-5369168F216F.jpeg
 
Suala hili la COVID-19, halina mtu wa kulaumiwa.
Hasira na woga, hazitafanya lolote lile kwenye hili tuepuke.

Huu virusi hivi vinaambukiza bila hata dalili yoyote kwa muathirika. As a matter of fact, kama una afya njema unaweza ukaambukiza wengine bila kujua mwenyewe kama ulikuwa nao.

Airport za mataifa yote duniani zinapima dalili tu kwanza, ndio maana wanashauri watu wanaojihisi kuumwa baadae, waji-isolate. Upimaji wa virusi wenyewe hufanyika katika maabara chache zilizotayarishwa. Hivyo wanadhaniwa peke yake ndio hupimwa. And this is world wide; due to unlimited resources. Kuna nchi kama S.Korea wamejitahidi kidogo kwenye upimaji, containment haijawezekana.

Kwa lugha nyepesi, haiwezekani kuzuia ugonjwa huu kuingia katika nchi yoyote ile unless mmejifungia na mmesimamisha shughuli zoote; which is realistically impractical.

Yaani, kinachofanyika na nchi zote duniani ni kufupisha uharaka wa maambukizi; ili huduma za kiafya zisizidiwe.
Maana hata nchi zenye huduma za kiwango cha juu, hazina uwezo wa kuhudumia mlipuko wa uambukizaji wa haraka namna hii.
Ndio maana hakuna nchi tajiri iliyoweza kuukwepa ugonjwa huu.

Acha niuseme ukweli:
People will die.
Most will survive.

Hatukuwa tayari (kidunia) ku-face epidemic(now pandemic) ya namna hii.

Pray, kwa sababu there will be tears.


Sent using LF Electromagnetic Waves
Amina na corona ije tu watu tushajichokea ....

am better here
 
Nitashangaa sana kama wasiasa wataigeuza hii issue ya Corona kama agenda ya kujipatia umaarufu wa kisiasa.
 
Mkumbuke tu,kule China,walianza Hadi kusanitize pesa .kwa ufupi noti ni moja ya carrier ya hizi corona virus,
Nchi zingine wanashauri electronic payment kuliko kupokea ama kulipa kwa cash
 
Fursa hiyo kwa wataalam wa mitishamba..
Tuanze sasa kuuza tangawizi,vitunguu swaumu na karafuu..
 
Hatari.

Wakati wengine wanazuia watu kuingia nchini kwao nchi kubwa kama Marekani sisi tukajidai eti tuna vipimo uwanja wa ndege, marekeni wao hawana vipimo uwanja wa ndege? Marekani alizuia watu kutoka ulaya kuingia kwake sisi tukajifanya tuko vizuri kuliko Marekani.

Ccm hawana malengo mazuri na afya za watanzania. Sasa subiri tuipate fresh.

Wenzetu kila anaeingia toka nje ya nchi huwekwa karantini siku 14 hadi hali iwe sawa, sisi watu wanaibuka wakipimwa airport hakuna dalili wanaondoka kwenda makwao. Ni cases ngapi zimetokea kama za jana? Maana bado watu wako kwenye window period. Ulaya ni risk area watu wanatoka huko tunawaacha tu bila kuwaweka kwenye karantini.

Tulichokua tunakitafta tumekipata
Mzee usiwe mjinga, hata waliofunga mipaka kabla bado wamepata corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom