Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Pole mama, mwanao atakuwa yuko salamaNawaza watoto huko mashuleni jamani Mungu atusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mama, mwanao atakuwa yuko salamaNawaza watoto huko mashuleni jamani Mungu atusaidie
Katika nchi ambayo watu watakufa Kama nzige Ni Tanzania, maana Tanzania ilikuwa na nafasi ya kuchukua hatua mapema kwa kuzuia safari za watu kutoka na kuingia Ila walipuuzia, Sasa wacha ituonyeshe makali
Hii ndio plan yangu kuanzia kesho, sina haja ya kusubiri tamko la Gvt.Mkuu sio mpaka watangaze!
Yaani Mimi kuanzia Leo watoto wangu hawakwenda shule!
Na hawataenda mpaka Mambo yatakapokuwa shwari!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una shida kichwani kwakoNina hakika kuna kiungo kingine unatumia kufikiri tofauti na kichwa.
Kwahiyo kwanza afungwe halafu ndio afunguliwe kesiHuyu mtu akifungwa afunguliwe kesi ya money laundry na uhujumu uchumi. Fikiria ndani ya muda mfupi alivyozurura, mara sweden, Mara Norway mara Ubelgiji kibaya zaidi anakwenda nyumba zenye wagonjwa, na bado akaja Tanzania, kwenye denge kasambaza, uwanja wa ndege kasambaza, hotelini kasambaza na hospital kasambaza
Wale wa uchina walopona walitumia nini mkuu, kama hakuna dawa??Maana anaposema anaendelea vizuri sijui amempa dawa gani wakati gonjwa halina dawa
Viwanjani wanapima jotoridi LA mwili ambalo kiuhalisia MTU akiwa kwenye incubation period linakuwa normal... Inshu ulikuwa ni kuwaweka watu wote wanaoingia kutoka nchi zenye maambukizi kalantini, ila hata hili nalo bado lingekuwa gumu, unafunga tu mipaka yako baasi kama Israel, India na hata marekani.. Kupambana na COVID aise si mchezooMTU akapimwa akakutwa hana ugonjwa alafu yeye hakuridhika akajiweka karantini
Hili limedhihirisha mfumo wetu wa vipimo ni ovyo kabisa
Je, vifurushi na mizigo inayoingia ndani nayo izuiwe?Viwanjani wanapima jotoridi LA mwili ambalo kiuhalisia MTU akiwa kwenye incubation period linakuwa normal... Inshu ulikuwa ni kuwaweka watu wote wanaoingia kutoka nchi zenye maambukizi kalantini, ila hata hili nalo bado lingekuwa gumu, unafunga tu mipaka yako baasi kama Israel, India na hata marekani.. Kupambana na COVID aise si mchezoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa anawapenda angejifanyia self isolation huko alikoenda kuonyesha anajua Sana kusafiriHuyo mama anatupenda sana watanzania kwa kujifanyia safe isolation kiukweli anastahili kupewa tuzo kubwa sana kwa kuokoa mamia kama sio maelfu ya watu
Aaaa wapi! Usitegemee hilo toka kwake na ukitaka nikemee lkn haibadili uhalisia!!
Wengine walikuwa wanapiga marufuku watu kuingia nchi zao.
Sisi tunaleta ujuaji.
Imekula kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wairan, waarabu na wachina ni wazungu eenh! Au sio?