Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umejiandaa vipi mkuu?Endapo taifa kama taifa tukaingia quarantine, je wewe umejiandaa vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooookuna watu hapa tz ikigundulika wamepata corona wananchi wengi watafurahi sana, wa kwanza ni bashite...usiniulize kwann!!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikubwa kila mtu afanye jitahada zake kwanza kwa kadiri atakavyoweza kwa tahadhari,mfano jizuie mwenyewe kwenda kwenye mikusanyiko,mask puani,kutokushikana mikono,kunawa na sabuni yenye dawa n,k.Wataalam wanaamini kuwa kirusi hiki kinaweza kukaa hadi wiki 5 kuweza kutambulika. Ndio maana huyu mama wa Tanzania wamenscan lakini akaona mwenyewe ni busara kujitenga na watu.
Sasa ni wangapi waliopitia temperature scanning wakajiaminisha ni wazima na wako mtaani?.
Ila tuwe na amani