#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Mm nipo na shemeji yko hapa ghetto ww si nasikia eti sirikali eti walikupeleka kule Wuhan kubobea maswala ya COVID 19 na ikitokaea 20 ww ni mbobevu ushapta mafunzo.
Swali langu je naweza piga mashine,kama nitakuwa nipo full protective na mask na gloves?Nikimaanisha je kuna uwezekano vijidudu kuishi kwny uke au sperms?
Corona ni kirusi kipya. Kuna mambo mengi wataalamu hawaelewi kuhusu ugonjwa huu na jinsi unavo sambazwa,bado tafiti zinaendelea. Lakini kwa kua Hiki kirusi kinasababisha homa ya mapafu ( upper respiratory infections) sio rahisi kiweze kupita kwenye uke. Entry point ya corona ni macho, pua na mdomo.

Kuna mtoto alizaliwa na korona juzi hapa, mama yake pia ni muathirika wa huu ugonjwa bado haijaeleweka aliambukizwa vp. Either my contact or intra uterine transmission.

It took us 30 years to understand HIV n how it works, how it's transmitted n prevention. With Covid-19 we have a long way to go. Inabidi tuwe na subra tujikinge na kuwasikiliza wataalamu.

Sorry japo hujaniuliza mm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona gharama sasa ,si tutakufa ss masikini.Ninawe ka kakonyagi wakati bia tunakunywaga siku za harusi na makonyagi huku kwetu ni gongo ya mama bonge tu.
 
Tuttyfruity,
Nimesikia kuna doctor kwny radio kasema inaweza pita hiyo kirusi kwa njia ya makalio kule kwa kinyesi ,ss hizi mambo ni mtambuka unaweza ogopa hata kunya ati.😱😱😱
 
Nimesikia kuna doctor kwny radio kasema inaweza pita hiyo kirusi kwa njia ya makalio kule kwa kinyesi ,ss hizi mambo ni mtambuka unaweza ogopa hata kunya ati.😱😱😱
Ndo mana nimesema ni kirusi kipya. Nothing is definitive bado tuna hypothesis nyingi. Ni vizuri kuwasikiliza wataalamum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa Wilaya ya Longido amesema wamepeleka watendaji wote na vifaa vya kisasa vya kuhakiki na kudhibiti Corona.

Miongoni mwa vifaa hivyo ni pamoja na kipimo kinachoweza kumtambua muathirika katika umbali wa mita 10 na Vipima joto.

Source ITV Habari!
Duh! Kumtambua muathirika umbali wa mita 10.........🙄🙄🙄.

Wanatambua joto lake au nini?
 
Kuna watu na viatu haya maradhi kuna watu wanaotafutia kiki wizara ya afya kwani hawapo?mpe salam zangu mwambie magufuli tayari kashamuona.
 
Kama mtaalamu wa "Water treatment" nashauri maji yanayotumika kunawa mikono kupambana na Corona yaweke Chlorine kiasi cha 3-5 ppm.

Hivyo wadau husika wakae chini watazame ni kwa jinsi gani watafanya madawa haya yankuwa available, watazame ni kwa jinsi gani watatoa maelekezo kwa watumiaji wasio na utaalamu kuwa kwenye maji kidogo kidogo mixing ratio ni ipi?.

Chlorine hutumika katika maji kwa sababu ina uwezo wa kuua vimelea vingi sana na inasemekana kwa kiwango cha at least 3 kwenye maji kina uwezo wa kumfanya corona virus awe inactive.

Hivyo wananchi wanawe sio maji tu bali maji yenye dawa ambayo ni safe.

Pili mwongozo utolewe kwa mamlaka zote za maji kuweka kiwango cha kutosha cha chlorine katika maji ili wananchi wawe na maji yenye dawa mitaani kote ili kila anayenawa kwa maji aweze kupata "sterilization" katika mwili au mikono.
 
kuanzia tarehe 4/4 hakuna mikusanyiko yeyote itakayoruhusiwa mpaka december duuuuuuuuuuu nawaonea huruma watu furani walioongea jana kwa majigambo sana.
 
Dalili zinaonekana kati ya siku 2 Hadi 14. Watapita wakiwa Carrier, watabukiza waTz. Kama kuna utashi usio na gharama ni kufunga mipaka angalau siku 14 halafu unafungua... hivyo hivyo mpaka upotee. Mipaka ikibaki wazi hakuna namna tutegemee Bwana wa Majeshi.

au wanaoingia wahifadhiwe sehemu kwa siku hizo 14 kabla yaachiwa huru so nani atawalisha na kuna maeneo yametengwa kwaajili hiyo!?.
 
Napongeza hatua zote za kinga na tahadhari kuanzia kwa JPM,Wizara, media na Watanzania kwa ujumla.

Nashauri wizara itoe maagizo kaya zote ikibidi hata chumba cha wapangaji namna rahisi kuweka chombo cha maji na sabani mfano chumba cha mtu mmoja aweza kuwa na chupa ya maji lita moja na nusu ikawa pahala nje ya mlango, galoni, ndoo, matank kwa shule nk.

Pia sheria mama lishe awepo anaepokea pesa na kutoa change pekee,sio anaepakuwa chakula na kushika pesa.

Tupeane elimu namna rahisi ya kuweka vifaa vya kunawia mikono vyenye garama nafuu kuanzia ngazi ya mwenye chumba, familia ,migahawa,maduka ,taasis nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata china au marekani hivyo vipimo vya mita 10 havipo, only in Tanzania mtu anadanganywa na anapandisha uzi wa aina hii, bila kujua kuwa anaowambia hiki wana akili zao pia
DC yuko serious kweli?! Hivyo vipimo vya kutambua mita 10 vimeingia lini wakati KIA wameshindwa kutambua hadi Dar?!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona Virus *(Covid 19)*
by UNICEF

1. *Corona is a large virus. The diameter of this virus is 400-500 micro,* so that any type of mask can prevent* entry into our bodies and does not need to use expensive masks.

2. *Corona virus does not float in the air*, but sticks to objects, so that transmission is not through the air.

3. *When attached to a metal surface, the corona virus can live for 12 hours. Washing hands with soap and water is enough.*

4. *When attached to a cloth, the corona virus can live for 9 hours, so washing clothes or drying them in the sun for 2 hours is enough* to kill it.

5. *When attached to the hand, the corona virus can live for 10 minutes, so it provides enough alcohol-based sterilizers to be on guard.*

6. *When in the air at temperatures 26-27 ° C, the corona virus will die so it does not live in hot areas. In addition, * drinking hot water and basking in the sun is enough* as a precaution.

Avoiding cold foods and drinks* including ice cream is very important.

7. Gargling to the inside with warm water and salt* will kill the corona virus around the pharynx (landslide - Jw.) And prevent it from entering the lungs.

Following these instructions is enough to prevent the corona virus.
UNICEF

Please distribute this information to prevent unnecessary fears.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Lopinavir
  • Ritonavir
  • Ganciclovir
  • Oseltamivir
  • Remdesivir
  • Interferon alpha
  • Mleta mada wale Walibi kwenye dose ya dawa hizi kila siku ina maana wako kwenye bingo ya Corona virus?
 
Simu yako yaweza kukupa COVID-19.

Tabia hii ya kuperuzi simu zetu mara kwa mara, hata unawe mikono mara kwa mara ila kama umeigusa simu yako uwapo katika pilika na shughuli mbalimbali kisha ukairudisha mfukoni, utapo nawa mikono kisha ukaigusa tena simu yako jua kua Virusi vipo hapo vyakusubiria.

Ongeza umakini katika yale ufanyayo, jilinde kisha ilinde jamiii nzima.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mimi nikadhani ukiongea kwa njia ya simu na mwathirika anakuambkiza,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom