mpaka huu mwaka uishee tutakuwa tumenyooka..Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?
Acha uongo fala wewe....unafikiri kila mtu mjinga
Ila kwenye website ya WHO hili tangazo sijaliona, labda nimelimiss.
Allah ameshindwa kuutokomeza huu ugonjwa mkuuNajiuliza hawa watu milioni 1 walioambukizwa korona WATAPONA KWELI?..
na mwisho wa corona ni lini?.
HUU mwaka watu wengi tuliamini utakuwa mzuri lakini kinachotokea ni balaa NA VILIO.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Tomaso very soon utasadiki.Tunatishwa sana tofauti na uhalisia
Kati ya hao angalia nani ni mwanasiasa? Nani ni daktari orijino? Ukipata jibu fwata ushauri wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa bhanaWiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?
Source:WHO insta page
Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?
Airborne in an enclosed space! Ila kama wajisikia piga mask.We jamaa bhana
Kwa hiyo unabishana na WHO [emoji23]
uchunguzi umefanyika na umegundua virusi ni airborne
Hivi kwa nini wabongo tunapenda sana kukaza ndonga hizo [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nchi tajiri Kama marekani zinahangaika kuagiza,kutengeza,kuiba na kudhulumu mask,kwasababu sio ishu ya kitoto hiyo.
Mwathirika akikohoa,virusi vinabaki in aerosol form hewani masaa nane,,maana yake mtu akipita Hilo eneo hata baada ya nusu saa anaweza vuta hivyo virusi.hata asipovuta mtu hivyo virusi vitatua popote na kusurvive kwa masaa kadhaa,
Ndo maana kule Wuhan,walikuwa wanapulizia madawa kila Kona,kila chocho,
Mi nina uhakika lazima kina survive on air.Hizi habari F.A.K.E hua mnaokota wapi mkuu?Source:WHO insta pageView attachment 1416054
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikiaa huko tibisii eti rest in peace Gloria!!! Sijui wana maana gani ndo kuwa kakufa dada yetu???
Madhara yatakapokuwa makubwa (MUNGU AEPUSHIE MBALI SANA) halafu akatoa statements kama zile za kipindi kile cha tetemeko la Bukoba msije kuanza kusema anatakiwa kuwa mfariji kwa TaifaTunatishana sana ndugu zangu
Fanyeni kazi
Rais kasema kagonjwa haka kadogo sana na katishindwa kwa Jina la Yesu
Jina Yesu ni jina tuligopewa wananadamu litupasalo Sisi kuokolewa kwalo.
Amen
Wanakuona bishoo!nikiwa natoka kwangu kuelekea kwenye mizunguko yangu huwa navaa mask, cha ajabu wabongo huwa wananiangalia kwa jicho kali wakihisi kama najiendekeza au naringa.
yaani huku uswahili kwetu ukivaa kale kamask wabongo wanakuangalia kwa jicho la husda sana.
Mimi binafsi siwezi mask ..nasiwezi kuvaa gloves , nasiwezi kunawa pombe.
Wakubwa huko wanagombania mzigo wa mask. Mpaka US anaamua kupora za wenzake wa Ulaya. Mungu atulinde tu.hizo mask tukivaaa dunia nzima zitatoshaa?