#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?
mpaka huu mwaka uishee tutakuwa tumenyooka..
 
Tusubiri serikali waletewe misaada ya masks ,test kits misaada, masks misaada,kuna nini tunachoweza? ugonjwa huu toka January tunajua upo serikali kuweka order walau ya masks 10 kwa kila mtanzania haiwezi, so inaweza nini sasa? Mimi huwa nashangaa sana kuona miaka zaidi ya 50 tukisubiri misaada kila kitu ni kutokuwa na mipango sahihi na ni aibu sana.
 
Najiuliza hawa watu milioni 1 walioambukizwa korona WATAPONA KWELI?..
na mwisho wa corona ni lini?.
HUU mwaka watu wengi tuliamini utakuwa mzuri lakini kinachotokea ni balaa NA VILIO.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Allah ameshindwa kuutokomeza huu ugonjwa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasubiri kuambiwa na watu wanaosoma kama wewe unavyosoma?

Kwa nini usichukue taarifa WHO ambako wanaandika taarifa walizofanyia utafiti?

Hapa kwetu maelezo yote unayopewa na madaktari siyo kwamba wamefanya utafiti ila nao wamesoma ama kusikia kwa wenzao waliofanya utafiti.Ndiyo maana aliyekataza kuvaa mask,kesho atabadili usemi baada ya wanaofanya utafiti kusema ugonjwa unaambukizwa kwa njia ya hewa
Kati ya hao angalia nani ni mwanasiasa? Nani ni daktari orijino? Ukipata jibu fwata ushauri wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?
We jamaa bhana

Kwa hiyo unabishana na WHO [emoji23]

uchunguzi umefanyika na umegundua virusi ni airborne

Hivi kwa nini wabongo tunapenda sana kukaza ndonga hizo [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi habari F.A.K.E hua mnaokota wapi mkuu?
Source:WHO insta page
IMG_20200411_083716_346.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Et seriously dr makonda [emoji38][emoji38]
Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona sio airborne disease
Ndo maana nchi tajiri Kama marekani zinahangaika kuagiza,kutengeza,kuiba na kudhulumu mask,kwasababu sio ishu ya kitoto hiyo.
Mwathirika akikohoa,virusi vinabaki in aerosol form hewani masaa nane,,maana yake mtu akipita Hilo eneo hata baada ya nusu saa anaweza vuta hivyo virusi.hata asipovuta mtu hivyo virusi vitatua popote na kusurvive kwa masaa kadhaa,
Ndo maana kule Wuhan,walikuwa wanapulizia madawa kila Kona,kila chocho,

IMG_20200411_083716_346.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunatishana sana ndugu zangu
Fanyeni kazi
Rais kasema kagonjwa haka kadogo sana na katishindwa kwa Jina la Yesu
Jina Yesu ni jina tuligopewa wananadamu litupasalo Sisi kuokolewa kwalo.
Amen
Madhara yatakapokuwa makubwa (MUNGU AEPUSHIE MBALI SANA) halafu akatoa statements kama zile za kipindi kile cha tetemeko la Bukoba msije kuanza kusema anatakiwa kuwa mfariji kwa Taifa

Kumbukeni tuliambiwa tetemeko halikuletwa na serikali hivyo haiwezi kusaidia kila mtu

Sasa hivi tunaambiwa tuchape kazi tu!

Ni lini mlishamuona huyu jamaa anajishughulisha na majanga makubwa yanayolikumba Taifa au kushtuka!?

Unadhani zile barua anazotoaga za kuonyesha kuguswa na tatizo zinamaana zaidi kuliko kushughulika na tatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nikiwa natoka kwangu kuelekea kwenye mizunguko yangu huwa navaa mask, cha ajabu wabongo huwa wananiangalia kwa jicho kali wakihisi kama najiendekeza au naringa.

yaani huku uswahili kwetu ukivaa kale kamask wabongo wanakuangalia kwa jicho la husda sana.
Wanakuona bishoo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom