Expanded signs and symptoms of Covid- 19
1: Chills
2:repeated shaking with chills
3:loss of sense of smell
4: Loss of sense of taste
5:Sore throat
6:Muscle pain
7: fever
8: Nausea
9😀ifficulty in breathing
10: chest tightness
11: Dry cough.
#chukua tahadhari Corona IPO ni hatari inaua
.
# Epuka kutembelea wazazi na ndugu zako hasa wazee hasa kipindi hiki
#wanafamilia wako wakae nyumbani kama hawana kazi maalumu ya kuwatoa nje
#Epuka mikusanyiko isiyo ya lazima hasa baada ya kazi zako
#Zingatia social distance, kunawa mikono, kujipaka sanitizers, Vaa barakoa zinasaidia
#Jitahidi kutumia juisi ya Machungwa na limao ni muhimu sana
#Machungwa na limau ni muhimu sana kipindi hiki
#Supu ya maharage ni bora sana kwa kipindi hiki
#Mboga za majani ni muhimu
#Fanya mazoezi kama unaenda sehemu ambayo hauna haraka usipande daladala tembea kwa muda mrefu kama hauwezi kufanya mazoezi ya kukimbia
#Epuka kutumia pombe, Sigara kama hautaweza punguza matumizi yake.
#Usisahau kujifukiza asubuhi mapema na jioni ni muhimu sana.
~#VITA DHIDI YA CORONA INAANZA NA WEWE