Rk10
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,216
- 1,372
Punguza hofu mkuu, ulizia dawa za maumivu Dukani kinywa utakaa sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimetokewa na iyo hari over two weeks now, ila nilichoamua kufanya leo ni kujifusha tu ndio naona niko poa sasa ila tatizo limebaki kooni yaani kama nimepaliwa na mate ivi
hahahaahah hapana boss niliwah fanya huu upuunzi mara tmoja tu katika maisha yangu
aaaaahaa mkuu tafadhali usiite upuuzi cv za watu hizo. watu wanadeki mpaka chemba inayovuja ww unasema upuuuzii ?? kwelii ?hahahaahah hapana boss niliwah fanya huu upuunzi mara tmoja tu katika maisha yangu
shukrani sana mkuu ntazingatiaMkuu endelea kutafuna tangawizi kila wakati,lakini pia ingekuwa vizuri ungepata mlonge yaani unga wa majani ya mlonge unatumia kijiko kimoja kwenye maji moto kutwa Mara tatu utapata nafuu zaidi,pole sana kwa hiyo khali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kona ndio mana maambukizi hayapungui
Kwa hali hii;