#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Kwa Picha hizo Basi Magufuli yupo sahihi 💯 maana kwa life staili zetu Wabongo hatuwezi chomoka.
Yupo sahihi kwa hatua aliyochukua ya kujificha kwenye HANDAKI, huko chato?
 
Mhhhh! Hii ni hatari sana, tahadhali ya hali ya juu inahitajika.
 
Habarini Wakuu najaribu kufikiria je test kits za Covid 19 ni sahihi kwa kupima corona viruses au vinapima na vitu vingine au vina errors nyingi mpaka kukosea kiasi hiki au ni propaganda za Mhe. kutafuta escape goat?

MADUDU: MAPAPAI, MBUZI VYAPIMWA NA KUKUTWA NA CORONA

Rais Magufuli ameelezea mashaka yake juu ya ufanisi wa maabara ya taifa baada ya kufanya uchunguzi wa kupeleka sampuli za matunda na wanyama na baadhi ya sampuli hizo kukutwa na maambukizi ya Corona.
Naomba uweke hoja yako vizuri wengine tumekuta anamalizia. Mapapai kuwa za corona virus, mbuzi? These might be antibody of non specificity.

Hii ni science kubwa , si ndogo kama mtu anvyoweza kufikiria
 
Mkurugenzi wa maabara ya taifa kakalia kuti kavu.Hatutaki majibu ya positive TZ
 
Mambo mengine hayaleti kabisa mantiki! Ni vyema Mheshimiwa Rais wakati mwingine akayatatua yeye mwenyewe matatizo au changamoto za serikali na watendaji wake kimya kimya, badala ya kuwashtaki kwetu sisi wananchi!

Kwanza hivyo vipimo vyenyewe hatuvijui jinsi vilivyo, hatujui vimenunuliwa kutoka wapi! Hatujui namna vinavyofanya kazi, Hatujui ubora wake ukoje, nk

Badala kulalamika kwenye vyombo vya habari, si angechukua kwanza hatua za chini kwa chini ili kujua kwanza chanzo cha hayo madudu na baadae angekuja tu kutupa feedback!!!!
 
Shirika la Afya duniani WHO limebainisha kuwa watu wenye uzito uliopitiliza wapo kwenye risk kubwa ya kufariki kwa corona na kuhitaji mashine ya kuhema, wataalamu wanasema watu wenye uzito mkubwa na vitambi wanamatizo ya kuhema, ama uhema kwa shida na hii hutokana na wakiwa wamelala uzito wa vitambi ulalia mapafu na kupunguza sehemu ya eneo la mapafu kufanya kazi, hivo shida ya kuhema.
Asilimia 60 ya watu wanne na wenye vitambi hufa endapo watapata corona.

WHO inashauri Nini? WHO inashauri wakati huu watu wa namna hiyo akiwemo PETER MSECHU waanze mazoezi madogo madogo Kama kutembea, kukimbia, kunyanyua uzito, pia wafanye diet na kuacha kula vyakula vyenye sukari, Wanga, na mafuta, Kama chips, wali, ugali, nyama rosti, hii itawasaidia kupambana na corona kwa uraisi
Pia, watanzania tubadili mtindo wa maisha tuache maisha ya nyama choma ugali na bia na kuwa na kitambi sio sifa au utajiri.
 
Sijui Kama ni corona
Lakin naumwa Sana kikohozi kikavu
Mafua
Homa imepungua
Kichwa Sana na mwili kudhoofu
Kama wiki na kitu nilianza kuumwa kifua nikikohoa naumia Sana kifua kubana kikohozi kikavu homa kali Sana mafua na mwili kuishiwa nguvu
Nikaenda dispensary iliyokaribu yangu nikachoma sindano na nyingine ya mishipa nilipomaliza nikapewa Septilin , amox na mseto pamoja asipilin
Kwa Sasa homa imeshuka
Ila kikohoz Bado japo sio sana, mafua yamegoma kuisha na kichwa na mwil Bado haujakaa vzur pia sisiskii radha ya chakula Wala harufu











Naomben kwa aliyepitia hii alifanyaje akapona?
Naenda wiki ya pili sasa
 
Sijui Kama ni corona
Lakin naumwa Sana kikohozi kikavu
Mafua
Homa imepungua
Kichwa Sana na mwili kudhoofu
Kama wiki na kitu nilianza kuumwa kifua nikikohoa naumia Sana kifua kubana kikohozi kikavu homa kali Sana mafua na mwili kuishiwa nguvu
Nikaenda dispensary iliyokaribu yangu nikachoma sindano na nyingine ya mishipa nilipomaliza nikapewa Septilin , amox na mseto pamoja asipilin
Kwa Sasa homa imeshuka
Ila kikohoz Bado japo sio sana, mafua yamegoma kuisha na kichwa na mwil Bado haujakaa vzur pia sisiskii radha ya chakula Wala harufu











Naomben kwa aliyepitia hii alifanyaje akapona?
Naenda wiki ya pili sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najibu Maswali haya kuhusu Corona kwenye video hii kwa kupitia BBC Swahili:
1. Je kuna chanjo ya Corona?
2. Je kwanini majaribio ya chanjo ya Corona yanafanyika Afrika?
3. Je kushiriki kwenye majaribio ya chanjo ya Corona ni salama?
 
Sijui Kama ni corona
Lakin naumwa Sana kikohozi kikavu
Mafua
Homa imepungua
Kichwa Sana na mwili kudhoofu
Kama wiki na kitu nilianza kuumwa kifua nikikohoa naumia Sana kifua kubana kikohozi kikavu homa kali Sana mafua na mwili kuishiwa nguvu
Nikaenda dispensary iliyokaribu yangu nikachoma sindano na nyingine ya mishipa nilipomaliza nikapewa Septilin , amox na mseto pamoja asipilin
Kwa Sasa homa imeshuka
Ila kikohoz Bado japo sio sana, mafua yamegoma kuisha na kichwa na mwil Bado haujakaa vzur pia sisiskii radha ya chakula Wala harufu











Naomben kwa aliyepitia hii alifanyaje akapona?
Naenda wiki ya pili sasa
Mkuu kuna possibility kubwa sna hiyo ikawa ni Corona lakin kwa mujibu wa hiyo picha ya mdau alie comment hapo chini upo katika hatua za kupona na ukifanya haya mambo ninayo kwambia utakua fresh ndani ya siku chache zijazo chemsaha maji ambayo yana mchanginyiko wa Tangawizi, vitunguu swaumu na ukamulie limao kunywa asubuhi ukiamka na usiku kabla ya kulala na kwa mda wa katikati pendelea kutafuna tangawiz na vitunguu swaumu, usisahau kufanya mazoezi hakikisha unausumbua mwili utoe jasho nakushauri fanya mazoezi ya kukimbia na jitahid upige push ups usikubali kulala fanya mazoezi na ule matunda kadri utakavyo weza.

Kila la kheri naamini ukifwata huu ushauri wangu utakua fit siki chache zijazo tafadhali usisahau kuleta mrejesho ili wengine nao wajifunze tuepekuke kuuliza na kujibu vitu vinavyo fanana ugua pole mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana ukishamjua adui yako ni rahisi kupambana naye.

Tumeambiwa hatua za kuchukua kujikinga na maambukizi, tunawashukuru wataalam kwa elimu hii, lakini ieleweke kwamba ugonjwa huu ni wa kuambukiza, sasa mimi binafsi nitajuaje kama sasa nimeambukizwa corona, au nitamtambuaje mtu mwenye corona? ana dalili zipi na huwa ni nini kinampata, anakohoa , anaharisha anabanwa mbavu , anapata mafua , anapata homa au anakuwaje?
Kwa kuwa hujui umeambukizwa au yeyote aliye karibu nawe:-

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
 
Huu ni Uzi maalum kwa wale waliogua na kuuguza tusaidiane kupeana taarifa namna ya kukabiliana na huu ugonjwa ambaoni janga kwa dunia.hapa ni maelekezo mbali mbali na namna kwa wagonjwa walivyojiuguza na kupona na kama pia wameuguza pia tunaonana maarifa kwa jamii yetu.asanteni iwe faida kwetu mungu atulinde ameen
 
Tangawizi, mchaichai, swaumu, kitunguu maji, limao, asali, sindano na dawa za kusaidia upumuaji za kuvuta na vidonge plus msaada mkubwa wa sauna bath ilochanganywa hizo dawa za vyakula na zile Vicks za kichina, ndio zimenirejeshea pumzi .
Mungu niliomba sanaaaa like never before ili kama ni kifo angalau nife kama yule mwamba pale msalabani aliesulubiwa pamoja na mwana wa Maria.
Mazoezi madogo madogo ya kutembea nilifanya maana hofu yangu ilikuwa nikilala nitalala moja kwa moja hivyo bora nitembee na kukaa nje zaidi( hii hofu ilinifanya nikatae vidpnge vya usingizi)
Hatimaye vipimo vikaja Niko covid19 negative.
 
Tatazo langu Mimi sijielewagi mwili wangu magonjwa mengi yanakujaga na kupona yenyewe nashindwa kujua Kama ndo covid mwenyewe au vp,mfano Koo langu kuwasha ni kawaida sana tangu 2012, mafua ndo nishayazoea kabsa hata dawa situmiagi yakija yatanibana yakichoka yanatoka yenyewe,hapa nilipo tumbo nahis linawaka Moto kwenye mbavu kwa chini ndo nataka kujivukiza tu,Mimi naendaga hospital Kama na malaria au gonolea au typhord
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom