#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Muda mfupi baada ya mechi kumalizika,kuna ndugu yetu anahisi wakati yupo uwanja wa Kambarage Shinyanga akishangilia mechi kati ya Mwadui na Yanga kuna shabiki mmoja pale uwanjani alikuwa anakohoa huku akirukaruka bila kuziba mdomo na alikuwa anakohoa akielekeza mdomo kwa watu wengi kuonyesha mzuka umepanda hasa baada ya goli kufungwa.
Corona lazima itufunze somo. Wa Brazil na Burundi walikuwa wakaidi na walichukulia mambo carelessly, leo wanaomba Mungu awarudishie muda nyuma. Tz imefanya mchezo hatari Ila Mungu apishe mbali
 
Wakuu habari za leo.

Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa.

Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.

Natanguliza shukrani.
 
Wakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.


Kama huko dsm nenda kairuki utachomwa sindano yakuvfubava hivyo virusi then utaendelea na matibabu mengine.
 
Wakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Acha woga.
 
Wakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Nenda kwenye hospitali zilizoainishwa...Pengine ni hofu tu(fear of the unknown)...Baada ya vipimo unaweza kuwa kwenye nafasi sahihi ya kujua cha kufanya
 
Wakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Mkuu dawa kuu usipanik...tulia hivohivo. ukipaniki tunakunywa uji wako kesho tu mkuu. pole lakn
 
Nenda kwenye hospitali zilizoainishwa...Pengine ni hofu tu(fear of the unknown)...Baada ya vipimo unaweza kuwa kwenye nafasi sahihi ya kujua cha kufanya
Hospitali zilizoainishwa zilishafungwa mkuu
 
hakuna hospitali iliyofungwa,kilichofanyika ni kusitisha uwepo wa sehemu maalumu kwa wagonjwa wa covid 19.. aamini bado vipimo vinafanyika japo hawasemi
Aisee itabidi nivisiti nikapime mapema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom