Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Corona lazima itufunze somo. Wa Brazil na Burundi walikuwa wakaidi na walichukulia mambo carelessly, leo wanaomba Mungu awarudishie muda nyuma. Tz imefanya mchezo hatari Ila Mungu apishe mbaliMuda mfupi baada ya mechi kumalizika,kuna ndugu yetu anahisi wakati yupo uwanja wa Kambarage Shinyanga akishangilia mechi kati ya Mwadui na Yanga kuna shabiki mmoja pale uwanjani alikuwa anakohoa huku akirukaruka bila kuziba mdomo na alikuwa anakohoa akielekeza mdomo kwa watu wengi kuonyesha mzuka umepanda hasa baada ya goli kufungwa.
Acha uzushiAcha mzaha
Wakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Acha woga.Wakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Wanapima kwanza hawa jamaa. au wanachoma tu sindanoKama huko dsm nenda kairuki utachomwa sindano yakuvfubava hivyo virusi then utaendelea na matibabu mengine.
wanapima kwanza hawa jamaa. au wanachoma tu sindano
Nipe dondoo mzee please, lazima nipige kura hapo octoba.Acha woga.
Sawa boss. Nashukuru.Yes , utapimwa mkuu wagonjwa wapo kibao sio wewe tu na wanapona.
Nenda kwenye hospitali zilizoainishwa...Pengine ni hofu tu(fear of the unknown)...Baada ya vipimo unaweza kuwa kwenye nafasi sahihi ya kujua cha kufanyaWakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Mkuu dawa kuu usipanik...tulia hivohivo. ukipaniki tunakunywa uji wako kesho tu mkuu. pole laknWakuu habari za leo.
Hapa nina dalili zote za mwanzo za covid19 wazee. Siku kadhaa zijazo huenda nisiweze hata kuandika hapa. Wenye ujuzi na waliokwisha pata hii mambo nipeni technique namna ya kupambania nafsi yangu. Nahisi nikienda hospital ndo kabisa ninaweza nisirudi mzima.
Natanguliza shukrani.
Hospitali zilizoainishwa zilishafungwa mkuuNenda kwenye hospitali zilizoainishwa...Pengine ni hofu tu(fear of the unknown)...Baada ya vipimo unaweza kuwa kwenye nafasi sahihi ya kujua cha kufanya
Sawa mkuu ila kahofu kanakuja kujaMkuu dawa kuu usipanik...tulia hivohivo. ukipaniki tunakunywa uji wako kesho tu mkuu. pole lakn
hakuna hospitali iliyofungwa,kilichofanyika ni kusitisha uwepo wa sehemu maalumu kwa wagonjwa wa covid 19.. aamini bado vipimo vinafanyika japo hawasemiHospitali zilizoainishwa zilishafungwa mkuu
Aisee itabidi nivisiti nikapime mapemahakuna hospitali iliyofungwa,kilichofanyika ni kusitisha uwepo wa sehemu maalumu kwa wagonjwa wa covid 19.. aamini bado vipimo vinafanyika japo hawasemi
We umesikia wapi?Kovidi si imeisha nyie mnaikwapua wapi.?
Mkuu nani kasema imeisha? imeisha kivipi? nani kaitoa kirahisi hivo?Mkuu umeitoa nchi jirani au maana hapa tulishaambiwa imeisha.