johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Karibu katika mjadala mzuri sana wa kuelimisha unaoendelea sasa hivi katika Luninga ya ITV, kipindi ni Malumbano ya hoja.
Up dates;
Up dates;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu katika mjadala mzuri sana wa kuelimisha unaoendelea sasa hivi katika Luninga ya ITV, kipindi ni Malumbano ya hoja.
Up dates;
TBC1 wanaamini ka Corona sio issue kubwa. Ni kajitu kadogo tuTbc wanarusha kupindi cha chereko
In God we Trust
ChakaKaribu katika mjadala mzuri sana wa kuelimisha unaoendelea sasa hivi katika Luninga ya ITV, kipindi ni Malumbano ya hoja.
Up dates;
It is an airborne desease. Full stop.Ukimtemea mtu mate unapoongea ina maana yamesafirishwa na hewa?
Nielimishe Tafadhali!
Yamesafiri kwa sgr!Ukimtemea mtu mate unapoongea ina maana yamesafirishwa na hewa?
Nielimishe Tafadhali!
Chaka kivipi bwashee?!Chaka
Elimu yetu ni ya kukakaririMimi siyo Daktari lakini mbona hizi vitu ni vidogo sana watu wanatakiwa watumie akili ya kawaida tu. Anaposema Corona inaambukizwa kwa njia ya Mate..kamasi na machozi je amesema vinasafiriaje kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kama siyo hewa.
Watu wakawekwa kwenye utupu je kuna uwezekano wa mate kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine iwapo wanasimama mita 6?
Tunaposema small particles je hajui kua zinasafirishwa kwa njia ya.hewa?
Ongea kitaalamu bwashee!Yamesafiri kwa sgr!
Maana yake ni nini kwa kiswahili bwashee?It is an airborne desease. Full stop.
Mimi sio bwashee na kwa mantiki hiyo sijibu swali.Maana yake ni nini kwa kiswahili bwashee?
Umeona hicho tu; unadhani imemfikaje huyo uliyemtea mate bila kuangalia umbali.Ukimtemea mtu mate unapoongea ina maana yamesafirishwa na hewa?
Nielimishe Tafadhali!
Umeona hicho tu; unadhani imemfikaje huyo uliyemtea mate bila kuangalia umbali.Ukimtemea mtu mate unapoongea ina maana yamesafirishwa na hewa?
Nielimishe Tafadhali!
Hahahaaaa........wataalam watakusaidia!Mimi sio bwashee na kwa mantiki hiyo sijibu swali.
Msomi wa civics huyawezi Mambo ya science! Fanya kama unazipita tu hoja nyingine zisizokuhusu na kinyume chake piga kimya tu hutachekwa!Ongea kitaalamu bwashee!
Chaka kivipi bwashee?!
Uzito wa kirusi cha Corona haumuwezeshi kuelea kwenye hewa ni lazima ataanguka chini.....hiyo ni kwa mujibu ya maelezo ya Daktari!
Nilitegemea majibu kumbe na wewe unaniuliza!Umeona hicho tu; unadhani imemfikaje huyo uliyemtea mate bila kuangalia umbali.
Au wewe unaelewa nini kuhusu hewa; unajua kuna speed tofautitofauti ya hewa kutokana na mazingira?
Vaccuum (utupu) mkiwekwa ata umtemee mtu mate azimfikii unadhani kwanini?