mohammed john
Member
- Jan 17, 2020
- 44
- 27
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha!! Ina maana mate /maji maji mtu akipiga chafya/kukohoa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine husafiri kwa njia ya hewa???!! Kwanza kirusi/bacteria kuweza kusafiri kwa njia ya hewa lazima awe na uwezo wa kuelea hewani kwanza, na hivyo basi density yake lazima iwe ndogo kuliko ile ya hewa, ili aweze kuelea hewani, lakini COVID-19, hana wepesi huo wa kuweza kubakia hewani,. Kulingana na wataalamu wa afya. Ndio maana wana sisitiza distance ya kuanzia mita moja,kati ya mtu na mtu. Hizo small particles lazima ziwe na uwezo kwanza wa kuelea hewani.
Umenielewa niliposema Official Statement ni kwamba sio airborne?! Na ukinisoma hadi mwisho utaona nimeelezea utafiti mpya wanasayansi waliosema inaweza kuwa airborne through aerosols, lakini bado ni kama kupata ngoma kwa njia nyingine tofauti na sex... yaani chance ya kuambukizwa coronavirus kwa njia ya hewa kupitia aerosols ni ndogo.Mkuu umemeza matango pori.
Nakushauri urudi tena kwenyw updates zako ukaji update.
Corvid -19 ni Airborne Disease.
Wewe ndugu yangu una data za zamani
Chaka kivipi bwashee?!
Uzito wa kirusi cha Corona haumuwezeshi kuelea kwenye hewa ni lazima ataanguka chini.....hiyo ni kwa mujibu ya maelezo ya Daktari!
Hivi wewe upo sawa ki akili? Kama huyu virus anaweza kukaa kwenye meza au mlango kwa muda mrefu bado tu unaleta ubishi? Huko China wamefanikiwa sababu hata barabara ,milango na kuta za majengo zilipuliziwa sanitizer.Ugonjwa mpaka uitwe airborne unatakiwa causative agents wake wawe wana uwezo wa kukaa hewani dk kadhaa mpaka masaa. Covid 19 sio airborne.
Corvid -19 anakaa hewani tena sio kwa sekunda ni kwa masaa kadhaa.
Zaidi ya matatu, hivi nyie madaktari wa bongo data zenu mnazitoa wapi?
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Unawachukia ma bwashee mpaka basi.Mimi sio bwashee na kwa mantiki hiyo sijibu swali.
Mbona huwa wanarusha sana vipindi vya Corona,na television zote zinarusha lakini siyo wakati wote maana kuna maisha mengine yanatakiwa kuendelea.
Chaka kivipi bwashee?!
Uzito wa kirusi cha Corona haumuwezeshi kuelea kwenye hewa ni lazima ataanguka chini.....hiyo ni kwa mujibu ya maelezo ya Daktari!
Ingekuwa hivyo unavyotaka kuaminisha watu hadi leo duniani kungekuwa na walioambukizwa zaidi ya bilioni!!! Nenda kwenye taarifa ya WHO,Corvid -19 anakaa hewani tena sio kwa sekunda ni kwa masaa kadhaa.
Zaidi ya matatu, hivi nyie madaktari wa bongo data zenu mnazitoa wapi?
Umewahi kupima umbali wa chafya au kohozi? Kama hujawahi kupima ni busara kunyamaza kabla ya kuwabishia wataalamu wanaojua kupitia tafiti walizozifanya.Mimi siyo Daktari lakini mbona hizi vitu ni vidogo sana watu wanatakiwa watumie akili ya kawaida tu. Anaposema Corona inaambukizwa kwa njia ya Mate..kamasi na machozi je amesema vinasafiriaje kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kama siyo hewa.
Watu wakawekwa kwenye utupu je kuna uwezekano wa mate kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine iwapo wanasimama mita 6?
Tunaposema small particles je hajui kua zinasafirishwa kwa njia ya.hewa?
Ok...Hivi wewe upo sawa ki akili? Kama huyu virus anaweza kukaa kwenye meza au mlango kwa muda mrefu bado tu unaleta ubishi? Huko China wamefanikiwa sababu hata barabara ,milango na kuta za majengo zilipuliziwa sanitizer.
Hii akili ni adhimu munno apo nyumbani siku hizi tangu 2015. I stand to be correctly corrected.Mimi siyo Daktari lakini mbona hizi vitu ni vidogo sana watu wanatakiwa watumie akili ya kawaida tu. Anaposema Corona inaambukizwa kwa njia ya Mate..kamasi na machozi je amesema vinasafiriaje kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kama siyo hewa.
Watu wakawekwa kwenye utupu je kuna uwezekano wa mate kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine iwapo wanasimama mita 6?
Tunaposema small particles je hajui kua zinasafirishwa kwa njia ya.hewa?
Utamtemeaje mtu mateUmeona hicho tu; unadhani imemfikaje huyo uliyemtea mate bila kuangalia umbali.
Au wewe unaelewa nini kuhusu hewa; unajua kuna speed tofautitofauti ya hewa kutokana na mazingira?
Vaccuum (utupu) mkiwekwa ata umtemee mtu mate azimfikii unadhani kwanini?
Ndiyo maana wachina ,wamarekani na watz wamekataa kuvaa mask( barakoa)Ugonjwa mpaka uitwe airborne unatakiwa causative agents wake wawe wana uwezo wa kukaa hewani dk kadhaa mpaka masaa. Covid 19 sio airborne.