ruhi, Kwa sababu umesema wewe sio daktari basi hamna tabu.
Kuambukiza kwa njia ya hewa maana ni kwamba hicho kirusi hakihitaji mtu kutema mate wala kukohoa , inatosha tu kupumua kwa mtu ila pumzi yake ikimfika mwengine aambukizwe..
Sasa kirusi cha hakipo hivyo..ndo maana wanasema corona haimbukizwi kwa njia ya hewa.
Korona ni mpaka mtu akohoe au apige chafya yale maji maji yanayoruka ndo yanabeba virusi. Sio kwa kule kupumua tu.
Sasa hizo chembe chembe za maji ndo huwa zinaruka kutoka mdomoni au puani na kwenda sehemu nyingine kupitia hewani, KAMA AMBAVYO MTU ANAWEZA KUVIBEBA MKONONI MWAKE NA KUVIENEZA SEHEMU NYINGINE KWA KUSHIKA NA ULE MKONO WAKE..
KWA HIO SIO KWAMBA ETI CORONA INAENEZWA KWA HEWA AU KWA MKONO, HAPANA.
nadhani madaktari wataelewa vizuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuambukiza kwa njia ya hewa maana ni kwamba hicho kirusi hakihitaji mtu kutema mate wala kukohoa , inatosha tu kupumua kwa mtu ila pumzi yake ikimfika mwengine aambukizwe..
Sasa kirusi cha hakipo hivyo..ndo maana wanasema corona haimbukizwi kwa njia ya hewa.
Korona ni mpaka mtu akohoe au apige chafya yale maji maji yanayoruka ndo yanabeba virusi. Sio kwa kule kupumua tu.
Sasa hizo chembe chembe za maji ndo huwa zinaruka kutoka mdomoni au puani na kwenda sehemu nyingine kupitia hewani, KAMA AMBAVYO MTU ANAWEZA KUVIBEBA MKONONI MWAKE NA KUVIENEZA SEHEMU NYINGINE KWA KUSHIKA NA ULE MKONO WAKE..
KWA HIO SIO KWAMBA ETI CORONA INAENEZWA KWA HEWA AU KWA MKONO, HAPANA.
nadhani madaktari wataelewa vizuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app