Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Huyu jamaa hayo mambo ya kuomba angeyaacha, yeye sio kiongozi wa imani wa Taifa hili, kwanza anajionyesha asivyo muamini kwa kuropoka eti kila mtu amuombe mungu kwa imani yake, hayo yatakuwa ni maombi kwa mashetani.