Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Kwasasa mungu mkuu MWENYE enzi anaeabudiwa na wanasiasa wa tz na viongozi wa dini wa tz ni JP huyo ndio mungu mkuu apaswae kuabudiwa mpaka 2025 .....in case...
 
Mungu aliagiza kuwa tufanye jitihada zeztu halafu tumuoembe azibariki. Huwezi kumwomba Mungu akuepushie na janga wakati wewe hufanyi jitihanda za kuliepuka. Ni sawa na mwenye njaa kujifungia chumbani akisali ili apate chakula bila yeye mwenyewe kufanya jitihada za kupata chakula hicho hata kwa kuomba wapita njia tu.
 
Una hoja ya msingi sana ndugu, kwenye haya maombi, toba ni msingi! Kwa wasomaji wa Bible 2Nyakati 7:14 “ ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.”
Ndicho hasa nilikusudia kukisema..... Leo karibu viongozi wengi wanawataka watu waingie kwenye maombi....lakini wamesahau kuwaambia na kuziambia Nafsi zao kufanya Toba kwanza ndipo waingie kwenye maombi...kwani bila ya kufanya hivyo tunamkasirisha yule tunaemuomba. mfano umemkosea MTU halafu una shida badala ya kuomba msamaha usamehewe kosa ulilofanya...!!ndiyo kwanza unaomba uondolewe shida zako za sasa as if hujafanya kosa huko nyuma...likely tunaemuomba hayo maombi hawezi kuyakubali.....
 
Bahati mzuri kwamba watu hawaleti maombi kwako, itakuwaje upumbavu!

Itakuwa upumbuvu ikiwa maombi yatakuwa wewe ndo unayeombwa!

Watu wengine bhana, Kwani ni Lazima utukane wengine ndiyo uonekane wewe ni mjuzi kuliko Wao?

Vilaza wengi, ndio wanaoongoza matusi, hawanaga hoja zaidi ya matusi, matusi ni ulemavu, ni kushindwa kuishighurisha akiri ili kutoa solutions, matokeo yake unahitimisha Kwa kukebehi watu na kutoa mitusi utadhani wewe ndio binadamu kuliko wengine, mkuu Sio vema, mambo mengine kama hayakuhusu nyamaza

..katika historia ya Tanzania kiongozi gani anaongoza kwa kukebehi watu na kutoa matusi hadharani?
 
"Wagonjwa wote waliyobaki (131) hali zao ni nzuri isipokuwa Wagonjwa 4 wanapatiwa matibabu ya Wagonjwa mahututi kutokana na kusumbuliwa na matatizo mengine ya kiafya."
 
"Wagonjwa wote waliyobaki (131) hali zao ni nzuri isipokuwa Wagonjwa 4 wanapatiwa matibabu ya Wagonjwa mahututi kutokana na kusumbuliwa na matatizo mengine ya kiafya."
 
Kumuomba MUNGU ili akuepushe na janga ukiwa umeita vyomba vya habari vinakumlika ni unafiki wa kiwango cha lamii, yaani unamuomba MUNGU kwa kujianika kwenye TV kwa kugaramia ili uonekane kwa bwana yule kuwa unaomba, huu ni ujuha, huyo MUNGU mnaemuomba kwa staili hiyo mnamjua kweli?

Kibaya zaidi, hawa watu walionekana kuanza mumshukuru bwana yule kabla ya maombi, yaani badala ya kumuomba MUNGU kwa kuwapatia nafasi hiyo, matokeo yake wakaaanza kumshukuru bwana Yule huku wakikodolea kamera ili kuhakikisha bwana Yule anawashika sura zao wasije wakawa wamemaliza maombi na bwana Yule akawa hajawafahamu.

Aiseee tuna kazi kubwa sana ya kufanya nchi hii walahi.

OK namalizia kuuliza swali:

Je, hiyo amri ya take away inahusu na sisi wanywaji? Je, kwa maaana hiyo tukienda bar tuwe tunafungiwa na kuondoka? Khaaaa! watoa muongozo wamepangaranyika mapema sana na ikitokea hili janga likafumuka hata huyu Makonda walahi hutamuona hadharani atabaki ndani akichungulia dirishani kama Bashiru Ally na Polepole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana Yule alitoa agizo hilo kisiasa na ndiyo maana wanafiki wamekuwa wengi. Hapo anahitaji kujua ni Madhehebu gani wanamuunga mkono. Wale watakaoendesha maombi yale bila kumtaja Bwana Yule basi ni dhahiri hawamuungi mkono hivyo mkono wa Bwana Yule utaanza kuwasakama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi inatabia ya kudharau wataaalamu mimi naisi niwakati wa waziri wa afya na jopo lake la kitaalamu kutoa miongozo kila wakati siyo mkuu wa mkoa anakurupuka Tu na naisi waziri anatamani kusema kitu Ila bwana Yule alivyokuwa na kukurupuka anaweza mfukuza kazi Kwa kisingizio cha uchumi tungekuwa tunachukua taadhari kama Rwanda au German cyo lazima watu wafungiwe ndani Ila watu walazimishwe kutoka Kwa sababu za msingi bila ivyo wiki mbili zijazo lawama zitamuangukia mtu apa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom