Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Unataka twende kwenye ushahidi wa picha?

Mimi sikutaka ushahidi wa picha kuwa Mungu yupo.

Lakini, unaweza kunipa ishahidi wa picha kwamba Mungu yupo kwanza?

Na unawezaje kuhakiki ushahidi wa picha huu ni wa kweli na huu ni photishop tu?

Nikikuoa ushahidi wa picha utauhakiki vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu nyingine umesema kuna maji leta ushahidi
Nimeshakuthibishia mungu yupo
Huamamini bado unataka uthibitisho wa kusadikika
Kuwa iillitarate kutakufanya usijue vitu vingi maandiko yamekulezea
Nijibu kwa weledi sehemu gani ina maji zaidi ya dunia??
Jibu uthibitishiwe mungu yupo..
 
Mungu wako alishindwa kuumba ulimwengu usio na magonjwa, na hapo hapo uumbaji wake ukathibitisha kuwapo kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaumba Magonjwa Ili Kuthibitisha Uwepo Wake

Sasa Yeye Ndio Anaeamua Halafu Umpangie Maamuzi ?!

Tatizo Mpangaji wa maamuzi Ndio Yeye Wewe Unampangiaje Maamuzi ?!


Mnaumwa kwasababu Anawapenda Sanaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan kila usichowahi kukiona ndio kinakua hakipo ?!

Ama kama kitu hakijathibitishwa uwepo wake na Kiranga Ndio Kinakua Hakipo ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kuna vitu vipo, vinaonekana.

2. Kuna vitu havipo, vinaonekana.

3. Kuna vitu vipo, havionekani.

4. Kuna vitu havipo, havionekani.

Sasa, utajuaje kitu kipo kweli na hukioni kama kipo tu wakati hakipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nataka umuulize kila asichokiona ndio hakipo ?! Ama kila kitu lazma akione yeye ili kuthibitisha uwepo wake ?! Muulize upepo aliwahi kuuona wapi kama upo na akathibitisha kama upo ama aliwahi kuusikia wapi kama upo ama aliwahi kusikia harufu yaupepo wapi athibitishe uwepo wake
Kuna sehemu nyingine umesema **** maji leta ushahidi
Nimeshakuthibishia mungu yupo
Huamamini bado unataka uthibitisho wa kusadikika
Kuwa iillitarate kutakufanya usijue vitu vingi maandiko yamekulezea
Nijibu kwa weledi sehemu gani ina maji zaidi ya dunia??
Jibu uthibitishiwe mungu yupo..
MUNGU YUPO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kuna vitu vipo, vinaonekana.

2. Kuna vitu havipo, vinaonekana.

3. Kuna vitu vipo, havionekani.

4. Kuna vitu havipo, havionekani.

Sasa, utajuaje kitu kipo kweli na hukioni kama kipo tu wakati hakipo?
1. Kuna vitu vipo, vinaonekana.

2. Kuna vitu havipo, vinaonekana.

3. Kuna vitu vipo, havionekani.

4. Kuna vitu havipo, havionekani.

Sasa, utajuaje kitu kipo kweli na hukioni kama kipo tu wakati hakipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
2.kitu kisiwepo halafu ukione kinakaaje ukishaona kimeonekana basi ujue kipo

3.Kuna vitu Vipo Havionekani Kitu Gani Ambacho Kipo Halafu Hakionekani Ntajie Vitatu Tu Na Ulijuaje Kama Vipo Wakati Hujawahi Kuviona

Nipe ushahidi kama kipo wakati hujawahi hata kukion uta aminije kama kipo wakat hujakiona...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nataka umuulize kila asichokiona ndio hakipo ?! Ama kila kitu lazma akione yeye ili kuthibitisha uwepo wake ?! Muulize upepo aliwahi kuuona wapi kama upo na akathibitisha kama upo ama aliwahi kuusikia wapi kama upo ama aliwahi kusikia harufu yaupepo wapi athibitishe uwepo wake MUNGU YUPO

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuongezea hewa ya oxygen anayo ivuta kila siku anaipata wapi??
Je ameshawahi kuiona hewa??
Mmiliki wa hewa ni nan??
Sio kuja na vimistari viwili au vitatu vya kusema thibitisha mungu yupo ukipewa hoja bado una stick thibitisha thibitisha...
Jibu maswali ya hewa kwanza
Tukuthibitishie mungu yupo
 
Kwa kuongezea hewa ya oxygen anayo ivuta kila siku anaipata wapi??
Je ameshawahi kuiona hewa??
Mmiliki wa hewa ni nan??
Sio kuja na vimistari viwili au vitatu vya kusema thibitisha mungu yupo ukipewa hoja bado una stick thibitisha thibitisha...
Jibu maswali ya hewa kwanza
Tukuthibitishie mungu yupo
Akinijibu vyema maswali nilio muuliza ntahamia upande wake kuanzia leo kwakuthibitisha yakwamba MUNGU Hayupo Akileta Propaganda Atakua Wakupuuzwa Tu Kama Wengine Wanavyo Puuzwa Maana Hana Hoja Yamaana Hata Moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naweza kukwambia sijui, lakini haujatoka kwa Mungu wenu.

Kama ninavyoweza kukwambia sijui square root ya mbili ni nini (in precise decimal), lakini najua si 10.

Unajua square root ya 2 ni nini in precise decimal notation?

Unajua hata square root ni nini?
Unaweza Kusema Hujui Lakini Haujatoka Kwa MUNGU Wetu sasa Kweli Kuna Haja Yakuendelea Kubishana Namtu Ambae Hatayeye Mwenyewe Hajui Anabishania Nini[emoji23][emoji23][emoji23]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga

-Thibitisha Kwanini MUNGU Hayupo

-Na Unataka Uthibitisho Upi Ili Kuamini Uwepo Wa MUNGU

-Na Usitake Kunambia Lazima Umuone MUNGU Ili Uthibitishe Kama Yupo Sababu Najua Kama Kuna Vingi Hujaviona Unasikia Kama Vipo Ila Una Amini

-
-
-
-
-


Kiranga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza Kusema Hujui Lakini Haujatoka Kwa MUNGU Wetu sasa Kweli Kuna Haja Yakuendelea Kubishana Namtu Ambae Hatayeye Mwenyewe Hajui Anabishania Nini[emoji23][emoji23][emoji23]



Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kusema sijui square root ya 2 nini, lakini nikasema kwamba najua si 10.

Unaelewa hilo?

Unajua square root ya 2 ni nini?

Unajua square root ni nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kuna vitu vipo, vinaonekana.

2. Kuna vitu havipo, vinaonekana.

3. Kuna vitu vipo, havionekani.

4. Kuna vitu havipo, havionekani.

Sasa, utajuaje kitu kipo kweli na hukioni kama kipo tu wakati hakipo?
2.kitu kisiwepo halafu ukione kinakaaje ukishaona kimeonekana basi ujue kipo

3.Kuna vitu Vipo Havionekani Kitu Gani Ambacho Kipo Halafu Hakionekani Ntajie Vitatu Tu Na Ulijuaje Kama Vipo Wakati Hujawahi Kuviona

Nipe ushahidi kama kipo wakati hujawahi hata kukion uta aminije kama kipo wakat hujakiona...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kinachoonekana halafu hakipo.

Jangwani naweza kuina mirage kama sehemu kuna chemchemi ya maji, wakati haipo, kutokana na mwanga unavyopinwa tu na joto.

Naweza kumuona Bob Markey anaimba haoa kwenye simu yangu, kwenye Youtube, wakati Bob Marley hayupo alishafariki miaka mingi sana.

Kwenye vilivyopo ambavyo sivioni.

Wewe upo, sikuoni.

Atoms zipo, sizioni.

Protons zipo, sizioni.

Thibitisha Mungu yupo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kinachoonekana halafu hakipo.

Jangwani naweza kuina mirage kama sehemu kuna chemchemi ya maji, wakati haipo, kutokana na mwanga unavyopinwa tu na joto.

Naweza kumuona Bob Markey anaimba haoa kwenye simu yangu, kwenye Youtube, wakati Bob Marley hayupo alishafariki miaka mingi sana.

Kwenye vilivyopo ambavyo sivioni.

Wewe upo, sikuoni.

Atoms zipo, sizioni.

Protons zipo, sizioni.
Kitu kinachoonekana halafu hakipo.

Jangwani naweza kuina mirage kama sehemu kuna chemchemi ya maji, wakati haipo, kutokana na mwanga unavyopinwa tu na joto.

Naweza kumuona Bob Markey anaimba haoa kwenye simu yangu, kwenye Youtube, wakati Bob Marley hayupo alishafariki miaka mingi sana.

Kwenye vilivyopo ambavyo sivioni.

Wewe upo, sikuoni.

Atoms zipo, sizioni.

Protons zipo, sizioni.

Thibitisha Mungu yupo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ule Mvuke Unauona Jangwani Ama Barabarani Ukiwa Mbali Niupo Nandio Maana Unauona Nasharti Lakuuona Kwake Lazma Ukae Mbali Ili Uuone Kama Unavyo Ona Sharti Lamacho Kama Mazima Ili Uone Lazma Macho Yawe Wazi

Umejuaje kama mimi nipo wakati hujawahiniona ?!

Atoms Umejuaje Kama Zipo Ulishawahi Kuziona Wapi ?!

Protons Zipo Uliwahi Kuziona ?!

Kama zote hizo una amini kama zipo ilhali hujawahi kuziona ama kuviona

Kwa nn MUNGU Huamini Kama Yupo Japokua Hujawahi Kumuona Ila Hivyo Vyengine Unaviamini Hapokua Hujawahi Kuviona

MUNGU Yupo Japokua Hujawahi Kumuona Kama Ambavyo Hujawahi Kuziona Protons Atom Na Mimi Ama Kwauthibitisho Zaidi Kwa Nn Ukaamini Kama Vipo Hivyo Vitu Wakati Hujawahi Kuviona.....


Kiranga Halafu Bado Hujanipa Uthibitisho Wakutokuwepo Kwa MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kinachoonekana halafu hakipo.

Jangwani naweza kuina mirage kama sehemu kuna chemchemi ya maji, wakati haipo, kutokana na mwanga unavyopinwa tu na joto.

Naweza kumuona Bob Markey anaimba haoa kwenye simu yangu, kwenye Youtube, wakati Bob Marley hayupo alishafariki miaka mingi sana.

Kwenye vilivyopo ambavyo sivioni.

Wewe upo, sikuoni.

Atoms zipo, sizioni.

Protons zipo, sizioni.

Thibitisha Mungu yupo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uwezo wako wakutuziona proton na atom zipo lakini huzion
Pia mungu yupo lakini huwezi kumuona
Na kwann huwezi kuona proton thinlbitisha
 
Jiulize nawewe kwanini umeshindwa kuacha dhambi? Siku ukiacha dhambi hakika Mungu atakukingeni na majanga haya. Kucha kutwa unaenda kinyume na mafundisho yake halafu ukipata majanga ndio unamlilia? Una reasoning capacity ndogo sana kijana.
Kwa jinsi nature ya maisha ilivyo na dhambi zilivyo huwezi kuacha dhambi na kama kweli moto upo basi kila mtu mzima ataenda motoni.

Msome vizuri Kiranga amesema kwa nini Mungu aruhusu majanga, dhambi n.k wakati uwezo wa kuzuia anao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom