Forbes1990
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 513
- 991
Mbona na Tanzania wameshukaFlight moja imetua kutoka china straight to Kenya na wachina kama 200 eti na wenyewe watakaa siku 14 ndiyo waachiwe uraiani sa si ndo yale ya ile meli mki achiwa ana kutwa mmoja mmoja tayari ana corona na amesha ambukiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app