scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 926
Yeye ndio aliye viumba suala la kuvipenda ni siri yake mimi na wewe hatuwezi jua..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndio aliye viumba suala la kuvipenda ni siri yake mimi na wewe hatuwezi jua..
Dah allah atakua anaenda kula hasara sasa....watalii wanaokuja nyumbani kwake kumtembelea wakizuiwa biashara yake itakuwaje?? inabidi aingilie kati hili swalaMungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?
Hata wanaokwenda Hijja?
Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Tazama angani kwa umakini halafu fanya haya hapaUnaweza kuthibitisha Mungu yupo na si hadithi za kutungwa na watu tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuthibitisha yupo, na habari za kuwepo kwake si za kutungwa tu?Yeye ndio aliye viumba suala la kuvipenda ni siri yake mimi na wewe hatuwezi jua..
Hujathibitisha kuwepo kwa Mungu.Tazama angani kwa umakini halafu fanya haya hapa
Fumba macho yako..unaona nini??
Fumbua macho yako unaona nini??
Wanaisema wanamuamini Mungu inaonekana hata wao hawamuamini.Dah allah atakua anaenda kula hasara sasa....watalii wanaokuja nyumbani kwake kumtembelea wakizuiwa biashara yake itakuwaje?? inabidi aingilie kati hili swala
Usiruke ruke nimekuuliza hapo juuHujathibitisha kuwepo kwa Mungu.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Sent using Jamii Forums mobile app
ZeIna maana wanaochukua tahadhari hawamuamini Mungu atawalinda watu watakaokwenda kuhiji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao ngono zembe haijulikani na haiwezekani kufanyika?
Nijibu swali languMungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao ngono zembe haijulikani na haiwezekani kufanyika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa angani kuna nyota.Usiruke ruke nimekuuliza hapo juu
Tazama angani fumba macho unaona ni nini?
Ukifumbua macho unaona nini??
Jibu swali
Uthibitisho sio mpaka nije na maandishi mengi
Hawa ndiyo wasomi/wataalam wanaotarajiwa kuja kupambana na Corona virus hapa Afrika!Kwa sasa angani kuna nyota.
Nikifumba macho ni kiza.
Sasa hayo yanathibitishaje Mungu yupo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamwambia mtu athibitishe Mungu yupo.Hawa ndiyo wasomi/wataalam wanaotarajiwa kuja kupambana na Corona virus hapa Afrika!
Thibitisha kama wewe Kiranga upo!Unaweza kuthibitisha Mungu yupo na si hadithi za kutungwa na watu tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuthibitisha ni nini?
Kitendo cha wewe kufumba macho nakuona giza nakufumbua macho na kuona nyota sio giza la mchoni kufuata nyota na wala sio nyota kufuata macho yako inatosha kuthibitisha MUNGU YUPO na yeye ndio alie umba nyota na yeye ndie alieumba giza na akaavipanga vitu katika mahala pakeKwa sasa angani kuna nyota.
Nikifumba macho ni kiza.
Sasa hayo yanathibitishaje Mungu yupo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuthibitisha ni nini?Unamwambia mtu athibitishe Mungu yupo.
Anakwambia tazama angani unaona nini, fumba macho unaona nini.
Ndiyo anathibitisha uwepo wa Mungu hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ebu mfukuze kwa hoja kiranga kwenye huu uzi na sio vibweko.Akili yako ina walakini Kiranga
Uzi unaelezea janga
Ww kwa kupenda kwako,unataka kuubadili uzi huu,kuwa uzi wa mabishano
Fungua uzi wako
kisha weka hoja zako,watakuja watakaokujibu Bro
Acha mabavu Chalii
Sent using Jamii Forums mobile app
Jua kuangaza dunia ni kwa uwezo wa munguUnamwambia mtu athibitishe Mungu yupo.
Anakwambia tazama angani unaona nini, fumba macho unaona nini.
Ndiyo anathibitisha uwepo wa Mungu hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua kiranga anafeli sana yaan anataka mtu uje na maandishi mengi ndio umethibitishaKuthibitisha ni nini?