AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,406
- 4,899
Mkuu hata mimi kuna muda huwa najiuliza kwa nini inakuwa hivi yaani baadhi ya vitu Mungu anashindwa kuzuia na uwezo anao.
Bado nasoma kile kitabu uliwahi weka hapa siku nyingi
'Philosophy of religion. An anthology'
Kwa kweli nimejifunza vingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ameshakupoteza huyo,
yaani Binamu atengeneze gari halafu hiyo gari iwe na uwezo wa kumjua huyo binadamu? Impossible