Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Mkuu hata mimi kuna muda huwa najiuliza kwa nini inakuwa hivi yaani baadhi ya vitu Mungu anashindwa kuzuia na uwezo anao.

Bado nasoma kile kitabu uliwahi weka hapa siku nyingi

'Philosophy of religion. An anthology'

Kwa kweli nimejifunza vingi

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa ameshakupoteza huyo,

yaani Binamu atengeneze gari halafu hiyo gari iwe na uwezo wa kumjua huyo binadamu? Impossible
 
Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?

Hata wanaokwenda Hijja?

Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Mungu atafanya kwa wakati wake kazi yetu sisi ni kumuomba sio KUMLAZIMISHA. Waliopo Saudia ni watu sio miungu ni lazima wachukue tahadahari. Hata Yesu katika hali ya ubinadamu aliomba aepushwe na kile kikombe cha mateso, sembuse Wasaudia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu atafanya kwa wakati wake kazi yetu sisi ni kumuomba sio KUMLAZIMISHA. Waliopo Saudia ni watu sio miungu ni lazima wachukue tahadahari. Hata Yesu katika hali ya ubinadamu aliomba aepushwe na kile kikombe cha mateso, sembuse Wasaudia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?

Imekuewaje Mungu mwenye uwezo wote kaumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?

Hata wanaokwenda Hijja?

Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Point yako hapo wataka wasizuiwe waende tuh kulingana ni kua wanaenda fanya ibada..aki point yako ni zaifu...huezi kulindwa bila kujilinda yaani upewe akili ya kujikinga afu ufanye kusudi kuruhusu ugonjwa ukitegemea kuepushwa
 
Point yako hapo wataka wasizuiwe waende tuh kulingana ni kua wanaenda fanya ibada..aki point yako ni zaifu...huezi kulindwa bila kujilinda yaani upewe akili ya kujikinga afu ufanye kusudi kuruhusu ugonjwa ukitegemea kuepushwa
Kwanza kabisa, point yangu hujaielewa.

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran wame cancel Friday prayers.

Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake wanaotaka kusali Ijumaa?

Kweli huyu Mungu yupo au ni hadithi za watu za uongo tu?


Sent using Jamii Forums mobile app
Tahazari ni muhimu..askari wapo wanaokulinda ila kwann huachi mlango wazi ukiwa waondoka..
 
Tc
Kwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?

Imekuewaje Mungu mwenye uwezo wote kaumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana?

Sent using Jamii Forums mobile app
we mamas
Kwa hiyo kwa wakati huu kawapotezea?

Imekuewaje Mungu mwenye uwezo wote kaumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Magonjwa lazima yawepo ili binadamu wafe bila watu kufa hii dunia ingekuaje saiv..rejea kwenye issue za eco system
 
Kuonesha jambo kwa njia isiyoacha shaka yoyote.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mantiki hiyo, uthibitisho siyo objective kwamba kinatambulika na milango ya fahamu bali kinatambulika kwa akili.

Kuthibitisha Mungu yupo kunatambulika kwa akili ambayo inayobadili mazingira ya kuhusu jambo au kitu na kuyasafirisha kwenye udhahanifu unaokubalika na akili. Kwa hiyo, udhahanifu wa ithibati unafungamana na akili.

Mungu yupo lakini ukitumia akili.
 
Jamaa ameshakupoteza huyo,

yaani Binamu atengeneze gari halafu hiyo gari iwe na uwezo wa kumjua huyo binadamu? Impossible
Unamaanisha nini unaposema kanipoteza, aliweka kitabu nikakisoma kuona nini kilichomo.

Mimi sio mtoto mdogo ni mtu mzima najitambua.

Unapofananisha uumbaji wa Mungu na binaadamu kutengeneza gari unakosea sana mkuu naishia hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu tunaemuabudu Sisi,mmoja asie na mshirika

Ndie aliumba Viumbe wote,mpaka maradhi
Anampa ugonjwa amtakae kwa hikma yake,na anamkinga amtakae kwa Hikma zake

Kwa hili

Ndani ya Uchina
Bado wapo waliopatwa na maradhi,lkn hapo hapo ambao hawajaguswa na maradhi hayo

Haya yote
Ni kwa Hikma yake

Ukitaka Mungu,afanye kama utakavyo wewe Kiranga na wafuasi wako,Basi huyo si Mungu,atakuwa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama ni hivyo mbona akati ugonjwa unalipuka china mlisema ni adhabu ya allah kwa china??? Aseee yaani kwa ile mitazamo waislmau mlionekana ni wapuuzi sana, ila naona saizi mmesha anza kubadilisha misimamo.
 
kwa namna yoyote ile, yeye ni muweza wa yote na ujuzi wote.
Mtu kuacha kufanya ibada yake ya hijja kwa kuhofia Corona ni kiashiria kwamba Mungu kashindwa kuzuia Corona ili waja wake wamuabudu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaijuaje haki kama usingeliijua batili? Usamehevu ama huruma itatokeaje ikiwa hakuna lililotendwa baya au ufisadi? Unayohoji ungeyajuaje kama kusingelikuwa na upande B wake? Uwepo wa unayohoji yanahitajika ili kujua uzuri upoje!

Binadamu hawezi akaijua hekima ya chanya vyema ikiwa hajapitia hasi. Vilevile hatutoijua hekima ya lililotokea ikiwa kama hatutojifunza.

Inakubidi ujue kwa angalau falsafa ya Mungu kwenye huu ulimwengu ipoje. Maisha ya huu ulimwengu wote ukiyaangalia yamezungukwa na hiyo falsafa ukiwa ni mwenye kutafakari chanya.
 
Kitendo cha wewe kufumba macho nakuona giza nakufumbua macho na kuona nyota sio giza la mchoni kufuata nyota na wala sio nyota kufuata macho yako inatosha kuthibitisha MUNGU YUPO na yeye ndio alie umba nyota na yeye ndie alieumba giza na akaavipanga vitu katika mahala pake
Wewe ni binadaam huwezi kuwaza kazi za mungu kirahisi rahisi
Poor Argument.

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Back
Top Bottom