Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Hicho nin kiburi cha uzima!!
Kifo pia kinaonesha Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeachia viumbe wake wanaopendana watenganishwe na kifo.
 
Kwani kipindi wana wa Israel wanateseka kabla ya kuja Nabii musa huyo mungu alikuwa hawaoni hao banii Israel!!!kila kitu kina muda wake tambua hvy, furauni nae alikuwa na mawazo kama yako mwisho wa siku akaangamia kwenye maji na Jeshi lake, karuni nae hvy hvy alikua kibri akaangamia kwenye mgongo wa ardhi yeye na nyumba yake. pumzi isikuahadae mjomba, umauti unatisha ww unasifa tu watu wanavyokupa likes ukaona sifa. Dunia hii walikuwepo welevu zaidi yako.
Iran wame cancel Friday prayers.

Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake wanaotaka kusali Ijumaa?

Kweli huyu Mungu yupo au ni hadithi za watu za uongo tu?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliwahi kutengeneza mtu akafanana na wewe
pia ukampa na pumzi ya ya uhai?

kama hujaweza wewe nani uliwahi kumwona amefanikiwa kufanya hvyo?

huwezi na hayupo kati yetu wa kufanya hivyo je aliyetufanya tuwe tulivyo ni nani?
Unajuaje hayo maneno ni kweli na si hadithi za uongo za kutungwa na watu tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake na janga hili?

Hata wanaokwenda Hijja?

Huyo Mungu yupo kweli au ni hadithi za watu tu?
Iran wame cancel Friday prayers.

Mungu kashindwa kuwanusuru watu wake wanaotaka kusali Ijumaa?

Kweli huyu Mungu yupo au ni hadithi za watu za uongo tu?


Sent using Jamii Forums mobile app
MANENO YA KIKAFIRI
 
Kwani kipindi wana wa Israel wanateseka kabla ya kuja Nabii musa huyo mungu alikuwa hawaoni hao banii Israel!!!kila kitu kina muda wake tambua hvy, furauni nae alikuwa na mawazo kama yako mwisho wa siku akaangamia kwenye maji na Jeshi lake, karuni nae hvy hvy alikua kibri akaangamia kwenye mgongo wa ardhi yeye na nyumba yake. pumzi isikuahadae mjomba, umauti unatisha ww unasifa tu watu wanavyokupa likes ukaona sifa. Dunia hii walikuwepo welevu zaidi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujathibitisha Mungu yupo.

Umetoa sababu zaidi za kupinga kuwepo Mungu.

Thibitisha Mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliwahi kutengeneza mtu akafanana na wewe
pia ukampa na pumzi ya ya uhai?

kama hujaweza wewe nani uliwahi kumwona amefanikiwa kufanya hvyo?

huwezi na hayupo kati yetu wa kufanya hivyo je aliyetufanya tuwe tulivyo ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Logical non sequitur.

Sijawahi kutengeneza gari la Toyota.

Hilo halimaanishi gari la Toyota limetengenezwa na Mngazija.

Thibitisha Mungu yupo.

Usiunganishe mambo ambayo hayana uhusiano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu vingine majibu ni mepesi sisi ni mfano wa wa adam ndio neno mwana adam
Adam ni nani na unathibitishaje sisi ni mfano wa Adam?

Unajuaje kwamba hiyo habari ya kwamba sisi ni mfano wa Adam ni habari ya kweli, na si hadithi za utamaduni wa watu tu walizozitunga?
 
Adam ni nani na unathibitishaje sisi ni mfano wa Adam?

Unajuaje kwamba hiyo habari ya kwamba sisi ni mfano wa Adam ni habari ya kweli, na si hadithi za utamaduni wa watu tu walizozitunga?
Bible na quruan zineandika sana haya mambo upo dunia ipi wewe??
 
Umekisoma?

Thibitisha Mungu yupo.

Halafu thibitisha Ibilisi yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu twende sawa wewe kiranga
Uthibitisho unaoutaka wewe ni upi
Wa ki iman?
Wa kinadharia?
Wa kukutumia wewe kama mfano?
Au wakiphilosphoy and theory??
Chagua kati ya hapo juu uthibitisho upi utauelewa uelimishwe kwa uzuri??
 
Bible na quruan zineandika sana haya mambo upo dunia ipi wewe??
Nani kaandika Bible na Quran? Na unajuaje kaandika ukweli?

Unajua Bible imebadilishwa mara ngapi?

Unajua historia ya Bible?

Unajua kwamba hata vitabu vinavyoelezea maisha ya Yesu katika Biblia (Gospels) havikubaliani katika jhadithi za kuelezea maisha ya Yesu?

Ushasoma kitabu kinaitwa "How To Read The Bible: A Guide To Scripture, Then And Now" ?

Unajua kwamba Bible na Quran ni vitabu vya tamaduni za watu tu, vimeandikwa na watu tu, vina uongo na contradictions kibao, vimebadilishwa na watu mara kibao?

https://www.jameskugel.com/books/how-to-read-the-bible/

How to Read the Bible
A Guide to Scripture, Then and Now

READ AN EXCERPT

Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
 
Hebu twende sawa wewe kiranga
Uthibitisho unaoutaka wewe ni upi
Wa ki iman?
Wa kinadharia?
Wa kukutumia wewe kama mfano?
Au wakiphilosphoy and theory??
Chagua kati ya hapo juu uthibitisho upi utauelewa uelimishwe kwa uzuri??
Uthibitisho ninaoutaka ni ule ambao utaondoa shaka yote, una uthabiti wa kimantiki, haupingiki na unaweza kurudiwa na mtu mwingine asiye na dau katika suala hili.
 
Back
Top Bottom