Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,447
Warsha inawatu 10-50, kwa kiwango cha chini nazo zimezuiwa.
Hivi hatuoni umuhimu WA kutoa agizo ofisi zito watumishi waende nusu kwa siku na idadi ipangwe ya wahudumiwa kwa muda mmoja,
Restaurant na masoko yatajifunga yenyewe wala msilazimishe kwao.
Gaweni barakoa bure kila zahanati.
Vyuo navyo visitishe lecture lakini visifungwe Bali waendelee na consultations lkn malecturer ndiyo wajipangie ratiba kupunguza msongamano
Haiwezekan uzuie shughuli za kijamii na umma ukaacha lecture ambazo zinakusanya watu wengi zikiwa wazi.
Ofisi zisizo na ulazima zifungwe, hongera kwa JF lkn hata vyombo vingine vifutilie mbali vipi hasa vya michezo na mahojiano ambavyo havina ulazima
Tukiweza hayo, tutakuwa tumepunguza msongamano hats kwenye usafiri, maduka nk
Maana hakuna atakayenunua vitu kariakoo nawakati hajui atauza wapi na huenda baada ya baa hili being ya hivyo vitu itashuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hatuoni umuhimu WA kutoa agizo ofisi zito watumishi waende nusu kwa siku na idadi ipangwe ya wahudumiwa kwa muda mmoja,
Restaurant na masoko yatajifunga yenyewe wala msilazimishe kwao.
Gaweni barakoa bure kila zahanati.
Vyuo navyo visitishe lecture lakini visifungwe Bali waendelee na consultations lkn malecturer ndiyo wajipangie ratiba kupunguza msongamano
Haiwezekan uzuie shughuli za kijamii na umma ukaacha lecture ambazo zinakusanya watu wengi zikiwa wazi.
Ofisi zisizo na ulazima zifungwe, hongera kwa JF lkn hata vyombo vingine vifutilie mbali vipi hasa vya michezo na mahojiano ambavyo havina ulazima
Tukiweza hayo, tutakuwa tumepunguza msongamano hats kwenye usafiri, maduka nk
Maana hakuna atakayenunua vitu kariakoo nawakati hajui atauza wapi na huenda baada ya baa hili being ya hivyo vitu itashuka
Sent using Jamii Forums mobile app