CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19

Sasa ww mpuuzi unasema Mungu ambariki magufuli Kwan magufuli ndo kamponya hv mbona mnakua wajinga hv utajipendekezaje kwa mwanaume mwenzio hv
 
Huku Dsm unapatikana wapi,muda hautoshi kujadili...
 
Vipimo si wamesema si vizuri
 
Muujuwe wewe na nani wakati kila siku unaelezwa humu na hata Kigwangala alishaupost? unautwa umuruvumba jaribu kugoogle uone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kapimwa Kenya? Kwa sababu hapa TZ maanara inafanyiwa uchunguzi na ndio maana hata taarifa hazitolewi
 
Huu mmea nimeweka Sana kwenye supu ya mbuzi

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…