CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19

Alishakua hana hata kabla hajapima wanazingua tu!
 
Maabara si inapima vitu fake, kamati report yake ya uchunguzi ilikabidhiwa lini?


Active Mind
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Tusitishane Bure Tuchape Kazi
 

Ni ubwege uliopitiliza kuamini mtu akwambie anatangeneza product fulani kwa kutumia kitu fulani, halafu aiuze product hiyohiyo ambayo ametumia akili kufikiria, ametumia fedha na muda kuzalisha.

labda hilo.jani ni moja ya items zilizo changanyiwa kwny dawa yao, lakn main iterm inayofanya wanacho kidai kama kweli inatibu, hawawezi kukisema.
 
Mashine iliyokupima mwanzo unaonyesha uko covid 19 positive ilikuwa unasoma kwa makosa kwa mujibu wa Mh Rais, kwa maana hiyo vipimo vikiwa positive means negative.
Kwa Sasa mashine bado haijafanyiwa marekebisho hivyo Basi Kama umepima Tena ikaonyesha negative means positive. Nashauri subiri upime Tena mashine ikishafanyiwa marekebisho ili upate majibu sahihi
 
Tuache kubeza, kapona, tunamshukuru Mungu, katuambia kapona kwa jani hilo, basi na wengine watumie.
Dhihaka nyingiiiii zisizo na tija za kazi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…