COSCO ya China yasitisha usafirishaji wa meli kwenda Israel

COSCO ya China yasitisha usafirishaji wa meli kwenda Israel

Dunia/mataifa yanavimbiana hakuna mnyonge, mpk Africa hawako nyuma rejea hapo magharibi walivyomdindia Ufaransa
Nadhani hao beberu wanabuni lao la kuendeleza ubeberu wao rejea WW2 mataifa yalivimba ila baada ya Japan kupata kiberiti dunia ilipoa

Hawa raia wanamiakakati migumu ya miaka mingi ijayo eg Corona ni vile ili fail
 
Wanaukumbi.

BREAKING:

⚡ 🇮🇱 Pigo jingine kubwa la kiuchumi kwa Israeli

Cosco yasitisha usafirishaji wa Israel huku kukiwa na mvutano wa Bahari Nyekundu.

Cosco, inadhibiti 5.2% ya uwezo wa usafirishaji wa kimataifa.

Hii inajiri baada ya kampuni zingine kama vile MSC, CMA CGM, Maersk, na Hapag-Lloyd kufanya vivyo hivyo.

Hii inaathiri kwa kiasi kikubwa njia za biashara za kimataifa, na ufikiaji wa Israeli kwa bidhaa.

Netanyahu anafikiria kufunga baadhi ya mashirika ya serikali kutumia fedha zao kulipia gharama za kijeshi huko Gaza."

t.me/megatron_ron

View: https://x.com/megatron_ron/status/1743960686969954434?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Inakoelekea,company zinazidi kupoteza imani hata kama sio Israel linked vessels zikipita bahari nyekundu,maana Maersk ilisitisha pia.

Mgogoro utaathiri kiasi kikubwa tu,tukae chonjo.
 
Inakoelekea,company zinazidi kupoteza imani hata kama sio Israel linked vessels zikipita bahari nyekundu,maana Maersk ilisitisha pia.

Mgogoro utaathiri kiasi kikubwa tu,tukae chonjo.
Marekani na washirikanwake hawakutegemea hili waendelee kumbeba Israel yeye mwenye huko bandari zate kavu hamna meli uchumi unayumba waafanyakazi wa badari wapo likizo.
 
Wanaukumbi.

BREAKING:

⚡ 🇮🇱 Pigo jingine kubwa la kiuchumi kwa Israeli

Cosco yasitisha usafirishaji wa Israel huku kukiwa na mvutano wa Bahari Nyekundu.

Cosco, inadhibiti 5.2% ya uwezo wa usafirishaji wa kimataifa.

Hii inajiri baada ya kampuni zingine kama vile MSC, CMA CGM, Maersk, na Hapag-Lloyd kufanya vivyo hivyo.

Hii inaathiri kwa kiasi kikubwa njia za biashara za kimataifa, na ufikiaji wa Israeli kwa bidhaa.

Netanyahu anafikiria kufunga baadhi ya mashirika ya serikali kutumia fedha zao kulipia gharama za kijeshi huko Gaza."

t.me/megatron_ron

View: https://x.com/megatron_ron/status/1743960686969954434?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Israel wana budget yakupigana na mataifa makubwa wote ndio iwe Gaza? Nadhani hakuna alie Kaa nakujiuliza Nazi ipo wapi?
 
Israel wana budget yakupigana na mataifa makubwa wote ndio iwe Gaza? Nadhani hakuna alie Kaa nakujiuliza Nazi ipo wapi?
Kama taifa kubwa lipi??
Maana mwezi tu alopigana na ghaza tayar alikua na bajet deficit
Hapo bado anaungwa mkono na United Shits Of Americant EU kasoro spain na Nato wote
Israhell haina bajeti yakupigana hata na hamas kama haijapewa tag na mashoga zake
 
Ka bahari kenyewe kana upana usiozidi 20Km ambayo ni within range ya makombora ya Houthis, hakuna penye utasema napita mbali nisipewe kipondo,
Kibano ipo pale pale.

Najiuliza hivi Houths wanatambua vp kuwa hii meli hii inaenda Eilat port na hii haiendi?
Vp kama wakiamua kubadili bendera au kuongopa destination?
Wanapewa taarifa za kijasusi na Iran.
 
Hili lakumilikiwa na israhell ndio najiuliza wanajuaje
Bendera kawaida sababu meli nyingi hua zinapepeusha bebdera ambazo sio zao
Unakuta meli ya marekani ila wanapepeusha bendera ya Senegal ama kongo
Ishu hapa jamaa wanajuaje kama umiliki wa israhell ama destination ni israhell??? Ritz Black Sniper nk msaada hapa
Wanapokea taarifa za kijasusi kutoka kwa Iran.
 
Marekani na washirikanwake hawakutegemea hili waendelee kumbeba Israel yeye mwenye huko bandari zate kavi hamna meli.
Houthi hawataki mchezo kabisa,Israel akiendeleza military operation ndani ya Gaza na wao wanaendelea ku attack meli,hivi karibuni tutegemee hata meli ambazo si mshirika kuvamiwa na sidhani kwa sasa kama kuna meli itapitishwa.
 
Ka bahari kenyewe kana upana usiozidi 20Km ambayo ni within range ya makombora ya Houthis, hakuna penye utasema napita mbali nisipewe kipondo,
Kibano ipo pale pale.

Najiuliza hivi Houths wanatambua vp kuwa hii meli hii inaenda Eilat port na hii haiendi?
Vp kama wakiamua kubadili bendera au kuongopa destination?
Wanajua njian zote na Meli zote zikifika maeneo hayo wanakama mawasilano wanajua kila kitu.
 
Kwamba wanajua meli zote zinazotoka india zinaenda israhel ama wanafatiliaje ilipotoka wanaulizia ama inakuaje?
Njia za kitambua meli imetoka/inamilikiwa na nani zipo nyingi mfano,IMo number,flag of convenience,(kusajili umiliki wa meli zaidi ya nchi moja)ship registry, monitoring signals ambayo hutoa information kuhusu umiliki wa meli hivyo ni rahisi kushambulia tu.
Hivyo mifumo inayotumika ukiwa ndani ya meli kutambua meli zilizokaribu nawe inapoelekea,speed yake,inapomilikiwa n.k ndivyo hivyo wao hutambua pia.
 
BREAKING:

⚡ 🇮🇱 wameanza kulenga bandari za Haifa, katika pwani ya Mediterania ya Israel.

Kombora ambalo halijatambuliwa lilitua katika eneo la bandari la Haifa.

Je, Hezbollah pia itafunga njia ya bahari ya Mediterania kuelekea Israel, na hivyo kusababisha mkwamo wa jumla wa kiuchumi?

t.me/megatron_ron
 
H
Hili lakumilikiwa na israhell ndio najiuliza wanajuaje
Bendera kawaida sababu meli nyingi hua zinapepeusha bebdera ambazo sio zao
Unakuta meli ya marekani ila wanapepeusha bendera ya Senegal ama kongo
Ishu hapa jamaa wanajuaje kama umiliki wa israhell ama destination ni israhell??? Ritz Black Sniper nk msaada hapa
Hzo information za kujua meli inaenda wapi hapo ndio usa anapomlaumu iran kuwa anawapa houth taarifa za kijasusi za kutambua kila meli inaenda wapi na imebeba nn
 
Back
Top Bottom