Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hawana pa kupumulia sasa, na waliokimbilia nyumba za bure walizojenga Palestinians kwa jasho lao leo wamezikimbia tena na kurudi USA na nchi zingine washirika
Mpaka sasa wamekimbia tena zile nyumba na wengine kutolewa na serikali yao na kupelekwa mahotelini
Wamechoka na mizigo ndio hiyo haifiki kwa wakati Huku wafanyakazi wa mashamba wameyaacha yafe na kukauka
Mashamba ya technology za kisasa chali
Yule paka Netanyahu nae ataachia ngazi tu
Mpaka sasa wamekimbia tena zile nyumba na wengine kutolewa na serikali yao na kupelekwa mahotelini
Wamechoka na mizigo ndio hiyo haifiki kwa wakati Huku wafanyakazi wa mashamba wameyaacha yafe na kukauka
Mashamba ya technology za kisasa chali
Yule paka Netanyahu nae ataachia ngazi tu