Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

"Tanzania is a country with huge natural resources, huge population, huge land, huge land border and huge sea border," but no brain! Kwikwikwikwi....



If Think about it for a sec(lightly)...... it's actually true!
kumbe leo umejua tanzania ina resources nyingi na ndo tumeanza kuzitumia sasa......sasa kaeni mkao wa kula😀😀😀😀
 
Port Reitz, With Mombasa Port, Old and New Terminus forms a huge port, All of Tanzania Ports Combined
q8pBPYWh.jpg
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 unajipa matumaini enhhhhhhh
 
u know what i wonder, hii SGR train ya Kenya can really sustain 120 km/hr au is a joke?????😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
wachina MUNGU anawaona aiseeeee
35.jpg
 
u know what i wonder, hii SGR train ya Kenya can really sustain 120 km/hr au is a joke?????😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
wachina MUNGU anawaona aiseeeee
View attachment 500928
Wewe huwa uko wapi wakati watu wanajadili mambo kama haya ya maana sahii ndio unakurupuka tu humu ka pimbi. Basi kama vipi katika feasibility study ilichana mbuga kwa kiasi cha 148km/hr na ni diesel kwa taarifa yako. Ikiewekwa stima ndo usiseme.
 
Wewe huwa uko wapi wakati watu wanajadili mambo kama haya ya maana sahii ndio unakurupuka tu humu ka pimbi. Basi kama vipi katika feasibility study ilichana mbuga kwa kiasi cha 148km/hr na ni diesel kwa taarifa yako. Ikiewekwa stima ndo usiseme.
maana tatizo sio kufkisha 120 km/hr tatizo zilivo kaa yani huwezi amini 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
ila wachina wamewafanyia kitu mbaya sana 😛😛😛😛😛
wachina nyie MUNGU anawaona lakini
na kuhusu za umeme bado sana kwanza ifanye kazi hio ya diesel mutafute pesa mliokopa 3 billion usd😀😀😀 kama 5 yrs alafu izalishe faida kama 5 yrs tena ndio muwaze electric train so be cool
 
maana tatizo sio kufkisha 120 km/hr tatizo zilivo kaa yani huwezi amini 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
ila wachina wamewafanyia kitu mbaya sana 😛😛😛😛😛
wachina nyie MUNGU anawaona lakini
na kuhusu za umeme bado sana kwanza ifanye kazi hio ya diesel mutafute pesa mliokopa 3 billion usd😀😀😀 kama 5 yrs alafu izalishe faida kama 5 yrs tena ndio muwaze electric train
Iwekwe stima isiwekwe bado inachana mbuga tu kama yenu iliyowekwa stima. What a shame.
 
maana tatizo sio kufkisha 120 km/hr tatizo zilivo kaa yani huwezi amini 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
ila wachina wamewafanyia kitu mbaya sana 😛😛😛😛😛
wachina nyie MUNGU anawaona lakini
na kuhusu za umeme bado sana kwanza ifanye kazi hio ya diesel mutafute pesa mliokopa 3 billion usd😀😀😀 kama 5 yrs alafu izalishe faida kama 5 yrs tena ndio muwaze electric train so be cool
Hata usijali huku huwa ni kusema na kutender hatubahatishi.
 
seriously driver hawezi kushuka mpaka aekewe extranal support ladder za kushuka, wachina nyie kweli mumekosa huruma kiasi hicho, ujue inauma sana
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
255.jpg
 
Iwekwe stima isiwekwe bado inachana mbuga tu kama yenu iliyowekwa stima. What a shame.
😀😀😀😀😀😀😀😀 electric bado sana my friend unawaza electric wakati hata kuanza kazi bado hio ya diesel
😛😛😛😛😛😛😛😛😛
 
😀😀😀😀😀😀😀😀 electric bado sana my friend unawaza electric wakati hata kuanza kazi bado hio ya diesel
😛😛😛😛😛😛😛😛😛
The pot calling the kettle black jichoboy.
 
The pot calling the kettle black jichoboy.
hvi lemmy ask u, haitoi moshi sana????? maana inaonekana ni train ya zaman sema imepigwa rangi tu😀😀😀😀😀
wachina hawa sio watu wazuri🙂🙂🙂🙂 au macho yangu??????????? hapa lazma tuongee ukweli
900.jpg
 
😀😀😀😀😀😀😀😀 electric bado sana my friend unawaza electric wakati hata kuanza kazi bado hio ya diesel
😛😛😛😛😛😛😛😛😛
Electric Rail Technology is more old than Diesel, Diesel Engines are modern tech, people only use electricity as it is cheaper and cleaner, so don't think TZ having electric train is something new, Electric train dates back to 19th Century
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 poleni san siku nyingine muwe makini na wachina
Hahaha kajituloize na Ndoto hizo za Kidanganyika, tusha wazoea, yaani, nyinyi domodomo, Kenya ndio kwenda mbele, sahi 3Hrs, Nairobi to Mombasa. Nasikia ile kwenye ndoto zenu inachukua 1hr Dar is Slum to Moro! Sijui inapeleka nini huko. Kilometer 160, 1 hr, Electric, sisi tunachapa 480Km 3hrs Diesel!! Hahahaha! Bongolala
 
Back
Top Bottom