tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
Yaani kiukweli nawapenda sana hawa watuVipi kuhusu Offset na Cardio B 😁😁wasiachane nawapenda vichaa kabisa..
Ila Kuna maisha baada ya kuachana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kiukweli nawapenda sana hawa watuVipi kuhusu Offset na Cardio B 😁😁wasiachane nawapenda vichaa kabisa..
Ila Kuna maisha baada ya kuachana
Halafu ukikiangalia unaweza sema is very innocent kumbe kilipua mabomuMa couple ya Nguvu😍
Yesu Awatunze tu.....Silipendi kile kibwana chake Riri kipo utasema wale wahamiaji haramu wa kisomali😁
Yaani Wana ka chemistry flan amazingYaani kiukweli nawapenda sana hawa watu
Napenda niwe na demu kama card B 😁😁ni kudinyana kwa kwenda mbeleVipi kuhusu Offset na Cardio B 😁😁wasiachane nawapenda vichaa kabisa..
Ila Kuna maisha baada ya kuachana
Ukijua tu udhaifu wa demu wako mbona utafaidi ya Dunia.... Offset kampatia bi dadaNapenda niwe na demu kama card B 😁😁ni kudinyana kwa kwenda mbele
Ukijua tu udhaifu wa demu wako mbona utafaidi ya Dunia.... Offset kampatia bi dada
Muache ASAP bhana, yaan nampenda Rock had nampenda tena..Kwa hiyo huyo Msomali wako mdomo kama anaendesha fiat unampenda Nini?[emoji16]
Mbna kina Bey na kina Minaj wana watoto na wana imba badoo? Hivii wee uko timamuu??Kaacha mzikii yulee, afu mwanamke akishazaa all she care it abt her babies, izo album sijui nini, atakuwa anajiimbia mwenyewe. Sikia, ipo hizi kazi za sanaa zina uhai, yaan namaanisha msanii akitoa kazi ya sanaa ni kama kujifungua tu kwa ubongo. Sasa dada yetu vee kajifungua kwa mwili, i know she cant be emotional tena na kazi zakee, cause now she emotional invested to her babiess.
MfyuuuuhMmoja ajee athibitishee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimuacha baby mama wako, watu wanakanyaga kisha wanajifutia kisweta cha mwanao. There're some cowards out there. Bora mkubali kulea watoto wenu tu.
Shem ongezaa sautiiii. Wasikie hadi wachawi wakee.Vanessa ana akili sana and she is beautiful, wakati wote namuombea mema
Oyaaah mzee nii adjeeeNitasikitika sana nikijua aliyeandika huu uzi ni mwanamume
Kwann mzee umbea mwingii aucoo [emoji16]Nitasikitika sana nikijua aliyeandika huu uzi ni mwanamume
Dua nyingi mkuu. Vipi pande hizo?Oyaaah mzee nii adjeee
Hizi mbanga wanaziweza upande wa piliKwann mzee umbea mwingii aucoo [emoji16]
Alhamdullilah Niko gud aseeh [emoji109]Dua nyingi mkuu. Vipi pande hizo?
Of course mkuu..... Amtafute mange ampe kaziiHizi mbanga wanaziweza upande wa pili
Inapendeza kusikia hivyo mkuuAlhamdullilah Niko gud aseeh [emoji109]