Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe ndio uliahidiwa kupelekwa marekani?
Nitambulishe basi hawajuiWamemention mwingine wamekuacha wewe[emoji17]
Sawa baba,ngoja niweke wazNitambulishe basi hawajui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu ambao hatujawai kua na kapo hapa tunaumia tu..[emoji849]
Ndio mremboSawa baba,ngoja niweke waz
Weka kapicha 😎 😎 😎Mbwata imekaa kwa kutulia, unaweza kuweka laptop yako ukaendelea na kazi zako asipojitingisha.
Wapo wapi, mi siwataki hata, si Kama hawanifati wanakuja Ila mi sitaki sipo tayari hata Mara moja, leo kakufata wewe pm, kawafata wangapi? ni watu na Maisha yao na familia zao, ningekuwa mdangaji labda kwa tamaa za bia, sababu hawezi kukujengea hata chumba kimoja.Mabwana wapo basi ! Tabu tupu
Huyo binti ulimloga akabidili id?
Hapana.Huyo binti ulimloga akabidili id?
Teh teh teh[emoji16][emoji16]Wapo wapi, mi siwataki hata, si Kama hawanifati wanakuja Ila mi sitaki sipo tayari hata Mara moja, leo kakufata wewe pm, kawafata wangapi? ni watu na Maisha yao na familia zao, ningekuwa mdangaji labda kwa tamaa za bia, sababu hawezi kukujengea hata chumba kimoja.
Wapo wapi, mi siwataki hata, si Kama hawanifati wanakuja Ila mi sitaki sipo tayari hata Mara moja, leo kakufata wewe pm, kawafata wangapi? ni watu na Maisha yao na familia zao, ningekuwa mdangaji labda kwa tamaa za bia, sababu hawezi kukujengea hata chumba kimoja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ID yako ya miaka hiyo ilikuwaje mkuu?[emoji28][emoji28] nakumbuka mengi sana .. kuna mwamba alikuja na kabinti kamoja ka TIA nikamzunguka nikaondoka nako kumbe nakp kalikuwa kanacheza simba kakala laki yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] plus hotel pale migo ikapotea karibia laki sabini roho iliuma
nawe mzee kitambo sanaEwaaa nilimtamanigi 🙂🙂 nilimuona kwa mala ya kwanza ile white part pale kebs 😅😅😅 kuna jamaa alikuwa anajiweka karibu nae alikuwa blackberry bold naona kama alikuwa mkali wa hizo kazi kipindi kile 😅😅😅